Wana jf nimepata mfadhili wa kunilipia masters degree,mi nimemaliza advance diploma in accountancy pale TIA,ningependa kusome MBA ya finance,accounts au marketing,naomba ushauri ni chuo gan ambacho naweza kujiunga kwa mwaka huu najua nimechelewa ila ndio mfadhili nimempata,naomba ikiwezekana mnijulishe na ada husika.