Nimepata kazi huku nikiwa chuoni naombeni ushauri

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
1,013
1,634
Ndugu wanajukwaa nimehitimu chuo miaka 3 imepita ila ajira ilikuwa ngumu kupata nikaamua kuja kuongeza elimu. Kuna kampuni ilinifanyia usaili kabla ya kuja chuoni . Sasa wamenipigia simu wananihitaji ila kwa sasa niko chuoni. Naombeni ushauri niendelee na masomo au niende kazini?
 
Ndugu wanajukwaa nimehitimu chuo miaka 3 imepita ila ajira ilikuwa ngumu kupata nikaamua kuja kuongeza elimu. Kuna kampuni ilinifanyia usaili kabla ya kuja chuoni . Sasa wamenipigia simu wananihitaji ila kwa sasa niko chuoni. Naombeni ushauri niendelee na masomo au niende kazini?



Natamani Big G zingeuzwa laki,Gunia la gomba lingeuzwa jero,ccm sare zizengekuwa khaki chadema wangetinga kijani na yellow,Fegi nayo ingeuzwa laki,Gunia la Bangi lingeuzwa jero,ccm sare zizengekuwa khaki chadema nao kijani na yellow.---Una Akili wewe??
 
Ndugu wanajukwaa nimehitimu chuo miaka 3 imepita ila ajira ilikuwa ngumu kupata nikaamua kuja kuongeza elimu. Kuna kampuni ilinifanyia usaili kabla ya kuja chuoni . Sasa wamenipigia simu wananihitaji ila kwa sasa niko chuoni. Naombeni ushauri niendelee na masomo au niende kazini?


Kama ajira ni ya uhakika, ahirisha cjui then unaweza kuomba transfer ukaenda the open university of Tanzania. (Sina uhakika lakini na transfer). ukapiga distance learning huku unapiga mzigo
 
Ndugu wanajukwaa nimehitimu chuo miaka 3 imepita ila ajira ilikuwa ngumu kupata nikaamua kuja kuongeza elimu. Kuna kampuni ilinifanyia usaili kabla ya kuja chuoni . Sasa wamenipigia simu wananihitaji ila kwa sasa niko chuoni. Naombeni ushauri niendelee na masomo au niende kazini?
mkuu vipi wale watoto ndo mmegoma kabisa kuwaachia au???
 
Mkuu,ungekuwa umepata serikalini ungeweza ongea na Afisa utumishi,Mkurugenz pamoja na mkuu wako wa Idara.Kama una bahati wangekuingiza kwa payroll halaf wangekupa mkataba usaini,kwa maana ya kuwa kila likizo unaenda kupiga kaz.na mshahara una flow kama kawaida.ila kwa private,ntakushaur tu uhairishe mwaka chuoni,ili ukatengeneze pesa na pia uzoef.
 
Ndugu wanajukwaa nimehitimu chuo miaka 3 imepita ila ajira ilikuwa ngumu kupata nikaamua kuja kuongeza elimu. Kuna kampuni ilinifanyia usaili kabla ya kuja chuoni . Sasa wamenipigia simu wananihitaji ila kwa sasa niko chuoni. Naombeni ushauri niendelee na masomo au niende kazini?
Hicho chuo hakina evening program??
 
Kama ajira ni ya uhakika, ahirisha cjui then unaweza kuomba transfer ukaenda the open university of Tanzania. (Sina uhakika lakini na transfer). ukapiga distance learning huku unapiga mzigo
Kaka kama nataka kusoma foundation course pale open natakiwa niwe na certificate yoyote kutoka chuo kilichosajiliwa na na nacte. Swali lang ni kwamba wanapokea ata certificate ambazo n short course yan miez mitatu nk..kama unajua naomba nsaidie please
 
Kama ajira ni ya uhakika, ahirisha cjui then unaweza kuomba transfer ukaenda the open university of Tanzania. (Sina uhakika lakini na transfer). ukapiga distance learning huku unapiga mzigo


Kusoma foundation open,kama ulikomea form 4,basi unapaswa kuwa na certificate atleast ya miezi 9.siyo lazima iwe chini ya nacte.kuna wadogo zangu flani waliingia pale foundation wakiwa na form 4 na certificate za jkt.at least uwe na kozi ya miezi 9.
 
Kusoma foundation open,kama ulikomea form 4,basi unapaswa kuwa na certificate atleast ya miezi 9.siyo lazima iwe chini ya nacte.kuna wadogo zangu flani waliingia pale foundation wakiwa na form 4 na certificate za jkt.at least uwe na kozi ya miezi 9.
Thanks kakaangu,
 
Back
Top Bottom