malagira roman
Member
- Sep 22, 2014
- 58
- 3
Hivi mtumishi anaponyimwa ruhusa na mwajiri wake kuwa asiruhusiwe kwenda kusoma eti hajakizi vigezo hasa kuwa kazini miaka miwili na huku chuo kapata na loan tena asilimia 90 ni halali ?
Na pia mtumishi huyo hahitaji kugharamiwa chochote na mwajiri wake lakini bado ananyimwa ruhusa.
Je afanyeje ili aruhusiwe kwani anataka kusoma.
Ushauri wenu jamani ni mhimu sana
Na pia mtumishi huyo hahitaji kugharamiwa chochote na mwajiri wake lakini bado ananyimwa ruhusa.
Je afanyeje ili aruhusiwe kwani anataka kusoma.
Ushauri wenu jamani ni mhimu sana