Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Ndo mara ya kwanza na nina furaha nakwenda nawe...nimebadili gia kwako...lol
hahahah...okay so jiandae kabisa....saa moja unusu, nakupick..next sunday
Ndo mara ya kwanza na nina furaha nakwenda nawe...nimebadili gia kwako...lol
hahahah...okay so jiandae kabisa....saa moja unusu, nakupick..next sunday
Nimeonja pendo lako nimejua u mwema
Nitakushukuru nitawainua wote wakusifu wewe
Nitawaongoza vema waimbe kwa furaha
Nitakushukuru nitawainua wote wakusifu wewe.
Ukarimu wako (Bwana), na huruma yako (wewe), msamaha wako (Bwana), na upole wako (wewe) umenitendea wema usiopimika
Nitakushukuru nitawainua wote wakusifu wewe.
Daaah. Kesho inabidi nikashiriki liturjia mkuu, maana nimesahau hata ni dominika ya ngapi.