Hizo zitakuwa ni za madrug dealers!
Baada ya kutafakari na kuingia stoo yake na kukuta na akiba ya kutosha akaamua kujiuzulu
Zimbabwe sikuhizi hawatumii pesa zao hapo mwake mwake ni USD$ POUNDMbona kidogo sana hizo, si za Zimbabwe? mshahara wa mwezi mmoja tu huo!