valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
Katika purukushani zangu za hapa na pale kuna memba mmoja wa JF wa zamani (jina kapuni) akanionesha demu wa JF. Kuingia JF na kuona avatar yake wache niumie mbavu kwa kucheka, ni vitu viwili tofauti, duhh japo kungekuwa kuna kamfanano kadogo nimgemsifu.
Nawaomba mijimama na mijibaba ya JF msizuge na kuwatia watu tamaa kwa avatar ambazo hamfanani nazo hata chembe.
Alokwambia JF wanataka sura nzuri na maumbo mazuri nani?
Hapa sio facebook.
Avatar ni avatar tu. Na haimaanishi kama una sura nzuri uweke picha nzuri.
Au kama una sura mbaya, uweke hapa.
HAPA TUNAHITAJI MCHANGO WAKO WA KIMAWAZO.