Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
Halafu wewe hiyo avatar ni wewe mwenyewe? kama ni wewe basi umeshinda wote JF, lakini humpati Mwali.
hilo nalitambua.... Mwali yupo juu...
Halafu wewe hiyo avatar ni wewe mwenyewe? kama ni wewe basi umeshinda wote JF, lakini humpati Mwali.
kumbe mwatiana tamaa??
Katika purukushani zangu za hapa na pale kuna memba mmoja wa JF wa zamani (jina kapuni) akanionesha demu wa JF. Kuingia JF na kuona avatar yake wache niumie mbavu kwa kucheka, ni vitu viwili tofauti, duhh japo kungekuwa kuna kamfanano kadogo nimgemsifu.
Nawaomba mijimama na mijibaba ya JF msizuge na kuwatia watu tamaa kwa avatar ambazo hamfanani nazo hata chembe.
mbona mimi ni mc hammer!nimekuja bongo tokea 1997..
Amuweni siku moja mbandike picha zenu za ukweli tukiwakuta mitaani tusiwashangae.
Mie ningekuwa handsome ningebandika yangu.
ribosome,
matokeo ya fom foo yaliyotoka juzi, umepata divisheni gani?
Katika purukushani zangu za hapa na pale kuna memba mmoja wa JF wa zamani (jina kapuni) akanionesha demu wa JF. Kuingia JF na kuona avatar yake wache niumie mbavu kwa kucheka, ni vitu viwili tofauti, duhh japo kungekuwa kuna kamfanano kadogo nimgemsifu.
Nawaomba mijimama na mijibaba ya JF msizuge na kuwatia watu tamaa kwa avatar ambazo hamfanani nazo hata chembe.
Hii ni defamation!kamatch na mwanaasha!
Period
Lazima kuna mambo yalikukuta siyo bure. either mliwasiliana baada ya kuwaka tamaa tu ulipoiona avatar. matokeo yake baada ya kupanga miadi mlipokutana hukutarajia kukutana na sura halisi. acha kupotezea bana ulipelekwa pwani kusema ukweli