utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
walioandika quran imeandikwa na waraabu wanne (4)na ukifatilia historia zao za hao waraabu wanne (4)wengi wao wamekufa kwa ulevi na uasherati.
umelaaniwa na hiyo laana haitafutika milele
walioandika quran imeandikwa na waraabu wanne (4)na ukifatilia historia zao za hao waraabu wanne (4)wengi wao wamekufa kwa ulevi na uasherati.
Ka.firi mkubwaKwa kweli baada ya haya mashtaka ya Mahimbo, sasa nimeona umuhimu wa mahakama ya kadhi. Yaani mtu kushindwa kumridhisha mkeo kaamua kwenda kwa mwanaume wa 'ukweli' unaamua kwenda mahakama kuu? Huu ni udhalilishaji wa mahakama kuu. Nadhani mahakama ya kadhi ingefaa kwa kesi za hivi..
mfu si lazima uvikwe sanda.
tatizo lenu mmekaririshwa kwamba kwa Waislam ibada lazima ifanyike
msikitini na hamjui kwamba hata hivi ninavyojibishana na wewe hapa jf
yaweza kuwa ibada vilevile lkiwa nitakidhi vigezo na masharti ya ibada.
kwahio hoja yako haina msingj wa kuzuia mahakama ya kadhi KURASIMISHWA
KIKATIBA.
Ahsante kwa kuja.
Si kila ibada inafanywa msikiti uislamu huujui shut up zungumza vitu ambavyo unaelimu navyo. Uislam hata kula ni ibada ww ukila huombi,kufanya kazi ni ibada.... eeh nipe number yako ntakufahamisha umuhimu mahakama ya kadhi
Zenji nani kapondwa na mawe?au kenya UK UGANDA RWANDA,S.AFRICA,Kuwa mkweli.Lengo la Mahakama ya Kadhi ni kuanza kuponda wanawake mawe, pia Kuua wanawake wanaoolewa na wakristu kama ilivyofanyika kule Sudan ya Kusini
Kwann ni lazima mahakama ya kazi iingie kwenye katiba?? Niambie sababu ili tuendelee kuelimishana hapa usipanic ndugu
Hii wala isilete tabu sana suala la kushushwa au kuandikwa ni suala la mtu alieamini na ambae hajaamini na haliwezi kumlazimisha kukubali au kukataa .
Qur-an imeshuka na itaendelea kuwa imeshuka kwa watu tulioiamini .
nzi hawezi kutingisha boga