jaman c mala ya kwanza kunifanxia hu anakaa kimya nikikaa kimya na yz anakaa yn nicpomtafuta ndo imetoka bc bwana kama penzi linazaliwa basi litakufa cku moja nahc ndo mwisho we2 umefika
No nilipga moyo konde 2kasahau yaliyopita tena nicnge give up mm 2cngekua mpaka leo.naona amefanya pipi xaxa nimechoka nicjelazmisha nikapata makubwawe kokudo unazungumzia yupi maana kuna siku ulisema wa kwako kakutenda...uishapata mwingine?
Umejuaje kama KOKUDO ni mkaka au kadadaaa.
nunua nyama...kata kipande kidogo...kiweke kwenye nanilii kwa muda wa siku saba....jitahidi umuite kwako kwa ajili ya dinner...mpikie nyama siku hiyo huku ukikarangiza kwa ufundi wako wote...tumbukiza kile kinyama kilichokuwa kwenye nanilii na hakikisha anakila.....simu zita miminika mpaka utakuwa unazikata mwenyewe.......
Sasa hivi imekuwa tofauti ,vipi lakini Mambo yako yalienda vizuri maana 2011 mbali kidogoZamani jf ilikua na upendo 🤣
duh ashakutoka na kumsahauBahati mbaya sana nimejaribu kumkumbuka huyu mlengwa simkumbuki kabisa :😝