Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Hapana yani uwezi amini niko karibu nae na akiwa anatoka ofcn kwake ofcn kwangu anapaona najua keshapata mjanja
Pole sana! Mfuate kwake mkaongee labda kuna kitu kibaya kaambiwa kuhusu wewe au pengine anahisi tu!!