babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,166
...nimepewa more than i can chew
Nilijigamba mimi rijali lakini maji yamezidi unga
Nyumbani pamekuwa ni pakuvizia
Nikirudi ni usiku wa manane
Mtu kanidokeza ni NYMPHOMANIAC
Mwanaume hatakiwa kukimbia vita lakini hii ni vita ya kipekee
Nimempa kavu kavu lakini hapati somo
Nifanyeje kwa sababu tunakoelekea si kuzuri?
Nilijigamba mimi rijali lakini maji yamezidi unga
Nyumbani pamekuwa ni pakuvizia
Nikirudi ni usiku wa manane
Mtu kanidokeza ni NYMPHOMANIAC
Mwanaume hatakiwa kukimbia vita lakini hii ni vita ya kipekee
Nimempa kavu kavu lakini hapati somo
Nifanyeje kwa sababu tunakoelekea si kuzuri?