JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Duuuhh nimechoka sana leo. Tangu mwezi wa saba natafuta mikopo kwenye baadhi ya benki zetu. ninavyo vigezo vyote. tatizo sipatiwi mikopo. kiasi cha Riba nacho kimeongezeka hadi 26% kwa mwaka. Tatizo nini? nikijaribi kufuatilia naambiwa niwe mvumilivu. tangu mwezi wa saba hadi leo. nimeamua kujikatia tamaa.