Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,948
- 32,207
Madame B, huwezi sema waijua bahari isipokuwa umekutana na mkizi. Wamjua weye?
Great thinker, hiyo bafu ya kushare si mbele kuna kamba za katani za kuanikia nguo? Zitundike hapo, utashangaa ni za mwanaume na sio mwanamke. Mwanamke akiangusha haachi angeokota.
Afu nishawahi pewa lifti na mkaka mmoja hv,
Nilipokaribia kushuka akapandisha T-shirt yake akanionyesha shanga halafu akaniachia namba za simu akanambia kama kuna mteja nimtafutie.
Aisee mpaka leo sijaelewa anamaanisha Mteja wa nini?
Wa Kununua Shanga au Wa Kumuuzia 0713!!.
Ila King'asti ni kweli si wavaaji wote wa shanga ni wanawake,hata wanaume wanavaa.
Last edited by a moderator: