Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
- Thread starter
- #101
nimeshatoa fungu la 10 jana,nilikwenda hospitali na kuwaongezea fedha wale waliuokuwa wamepungukiwa,ila kuhusu kitanda sina ila ninalala kwenye godoro tupu.Nalog offMie ningekushai=uri ukatoe sadaka, utoe hata hospitali, kwa wazee wasiojiweza au vituo vya kulelea watoto kama fungu lako la kumi ila kwakua umesema ndio unaanza maisha (kama ni kweli) TV ya nini Kitanda unacho?? nunua sehemu ya kuweka ubavu kijana ndipo ufate vingine