Sijafikia kujivua gamba bado...Jamani viburudisho vipya vipya vingi sasa hivi, kuna mgodi gani unatema warembo?
Karibu bibie japo hujapiga hodi, mie nimejichagua kuwatembeza tembeza hapa jf.
Teh teh teh, kitu kinalipa hiki afu kijanja janja au kuna kibibi cha zamani kimejivua gamba kwa jina na sura hii.
sasa si na wao watanunulia kideo?Nalog offChangia JF
ujanja kuwahi wahi fasta kabla wengine hawajatia timu.Nalog offJamani viburudisho vipya vipya vingi sasa hivi, kuna mgodi gani unatema warembo?
Karibu bibie japo hujapiga hodi, mie nimejichagua kuwatembeza tembeza hapa jf.
Teh teh teh, kitu kinalipa hiki afu kijanja janja au kuna kibibi cha zamani kimejivua gamba kwa jina na sura hii.
kuhusu kukugawia nusu ya hizo fedhwa wala usihofu bi dada,wewe nibipu mie nitakupigia kwenye Tigo Pesa. Mie sijaiokota ITV kwanini niipeleke huko ili wao waitangaze?Nalog offUnalog of unahofia tutakuomba?
Afu weye si upeleke hiyo hela ITV watangaze nani kapoteza?
Hizo ni riali, rupees au rands?
bibie u mrembo kama vipi ongea naye aliyeokota hela
ni South African Rand mkuu,hapana mkuu sichezei hela zao nachezea hela zangu.Nalog off
kule mbali mkuu,kabla hujafika kule pitia hapa Nugget str ipo moja inaitwa Royal hotel kiingilio karibu na bure halafu unaangalia matusi live bila chenga.Nalog offKama ni Rand mkuu nenda pretoria street kule hillbrow kuna Night club inaitwa Summit Club uka enjoy kuwatazama strippers. Ukishindwa nenda News Cafee yoyote kaweke heshima!
ile nimeokota lakini ninayo ya kubadilisha mboga vipi nije chemba yako tuongee?Nalog offHELA YA KUOKOTA haiko endelevu Mafiakisiwani.
nasikia masharti yake ni magumu mno.ɟɟo ƃoןɐuvyote havifai. Nunua ungo wa kuruka usiku ila kudumisha utamaduni wa kiafrika. Nalog off
Mkuu bora ununue TV ukinunua DVD wakati huna TV utaangalia kivipi? Nalog OnMambo zenu wakuu,leo katika pita pita zangu nimeokota R2800/= ila kwasababu ndio nayaanza maisha naomba ushauri wenu nahitaji vitu viwili hivi kati ya Tv na DVD,je mnanishauri nianze kununua nini? Nitashukuru kwa ushauri wenu.Nalog off
Umezungumza Point Achangie J.F. ili awe Full JF Premium Member. Nalog ON.Changia JF
Nitasikiliza muziki mkuu,ila nashukuru kwa jibu la kununua Tv ili nami nijionee laivu. Nalog offMkuu bora ununue TV ukinunua DVD wakati huna TV utaangalia kivipi? Nalog On
Ikibakia chenji nitafanya hivyo. Nalog offUmezungumza Point Achangie J.F. ili awe Full JF Premium Member. Nalog ON.
Mkuu nilidhani utamshauri profesional, kwamba ananunue Computer ili apige ndege watatu kwa jiwe moja, yaani atapata tv humo humo na dvd humo humo na JF humo humo.Mkuu bora ununue TV ukinunua DVD wakati huna TV utaangalia kivipi? Nalog On