Mambo zenu wakuu,leo katika pita pita zangu nimeokota R2800/= ila kwasababu ndio nayaanza maisha naomba ushauri wenu nahitaji vitu viwili hivi kati ya Tv na DVD,je mnanishauri nianze kununua nini? Nitashukuru kwa ushauri wenu.Nalog off
nashukuru kwa majibu yako.Nalog offto a fungu la kumi,halafu uanze kununua deki kwanza
Mambo zenu wakuu,leo katika pita pita zangu nimeokota R2800/= ila kwasababu ndio nayaanza maisha naomba ushauri wenu nahitaji vitu viwili hivi kati ya Tv na DVD,je mnanishauri nianze kununua nini? Nitashukuru kwa ushauri wenu.Nalog off
hakuna shaka nitafanya hivyo fasta.Nalog offNunua antenna kwanza
babkubwa mkuu nasubiri jua lizame kwanza.Nalog offKajenge heshima baa mkuu.
Kanunue TV
ni South African Rand mkuu,hapana mkuu sichezei hela zao nachezea hela zangu.Nalog offRand, Rupia? Na leongo lako nini? Tujue uko nje unachezea pesa za mzazi wako?
Tukajenge heshima bar kwanza.
sasa nikizitupa wewe si utaziokota?Nalog offzitupe na ww!
utanipa au utanikimbia?Nalog offNaomba unihonge. Lol.
Ni South African Rand sio R$ ya Brazil wala hiyo hela ya wadosi.Nalog offHizo ni riali, rupees au rands?
Hizo ni riali, rupees au rands?
Ni South African Rand sio R$ ya Brazil wala hiyo hela ya wadosi.Nalog off