- Thread starter
- #21
Tatizo weye Mdau hujiamini Ndo maana ulichakachuliwa..we ushafanya interview ya kwanza unaenda training unaambiwa kuna nyengine hata huulizi maswali..Af ps unaweka hapa Habari nusuNusu Lisa unaogopa Hadi kivuli chako..sasa watakujuaje au username ndo uliombea kazi
ningekuwa cjiamin nicngeweka hapa.