sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Machozi yana nitoka...nimenunua hp laptop 999,999 shillingi....nikijua hp ni kampuni ya marekani only to find imetengenezwa China ...maskini sijui itadumu maana vitu vya china kila mara ni feki
Machozi yana nitoka...nimenunua hp laptop 999,999 shillingi....nikijua hp ni kampuni ya marekani only to find imetengenezwa China ...maskini sijui itadumu maana vitu vya china kila mara ni feki
Tatizo liko wapi? makampuni karibu yote ya America na Europe yanatengenezea bidhaa Asia.............
Ni mpya au ni used? Lakini kabla hujajibu, nikutoe hofu mwana JF, bidhaa za china si feki kama watu wanavyofikiri mitaani, feki ni mfuko wa mnunuzi mwenyewe.Machozi yana nitoka...nimenunua hp laptop 999,999 shillingi....nikijua hp ni kampuni ya marekani only to find imetengenezwa China ...maskini sijui itadumu maana vitu vya china kila mara ni feki
wakuu nashukuru saaana saaana hofu yangu imeondoka maana dola mia sita si mchezo nimesevu mwaka mzima....ila hii laptop imenifurahisha kitu kimoja hata kui lock....unaweza tumia face recognition....mpaka ikuone ndiyo inafunguka teh teh tehMachozi yana nitoka...nimenunua hp laptop 999,999 shillingi....nikijua hp ni kampuni ya marekani only to find imetengenezwa China ...maskini sijui itadumu maana vitu vya china kila mara ni feki