donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
- Thread starter
- #21
Hahaha, ukivamiwa na wandewa nafkiri utarusha pesa ziwaueSilaha pesa, bastola mzigo...
Hahaha, ukivamiwa na wandewa nafkiri utarusha pesa ziwaueSilaha pesa, bastola mzigo...
sasa ikawaje?
Leo ndo nimebahatika kuiona kwa karibu nikiwa taiti mtu akanitupia nijiokoe angalau nitajaribu hata kuifyatu
HahahaLeo ndo nimebahatika kuiona kwa karibu nikiwa taiti mtu akanitupia nijiokoe angalau nitajaribu hata kuifyatu
Kibongobongo zipo silaha nzuri unaweza kuzimiliki ila mashariti yake ni makubwa.Kama unacheza call of duty vile au sniper elite. Tatizo aisee kibongobongo huruhusiwi kumiliki assault riffles
hapo umekosa suppressor tu ili uqualify kuwa a sniper weaponHahaha, una scope lens kabisa
hapo umekosa suppressor tu ili uqualify kuwa a sniper weaponHahaha, una scope lens kabisa
si ukiwa na hela lazima uwe na countermeasure in place.Hahaha, ukivamiwa na wandewa nafkiri utarusha pesa ziwaue
Yeah pale Tanganyika arms zpo za maanaKibongobongo zipo silaha nzuri unaweza kuzimiliki ila mashariti yake ni makubwa.
Kabisaaahapo umekosa suppressor tu ili uqualify kuwa a sniper weapon
Labda mkuu yuko vizuri kwenye self defencesi ukiwa na hela lazima uwe na countermeasure in place.
Au nawe utakuwa kama yule bosi wa home shopping centre anazurura usiku bila mlinzi hadi wakamwagia tindikali
Kumbe tayar una kitu mkuu ni Cobalt au Glok?Niuzie mkuu niwe nazo mbili
hapo umekosa suppressor tu ili uqualify kuwa a sniper weapon
Hiyo ya kwanza mkuu
Nice selection mkuu, hiyo ni engraved colt 1911..Hiyo ya kwanza mkuu
Nice selection mkuu, hiyo ni engraved colt 1911..
-ina uzito wa gramu 1105
-urefu wa 210mm
-muzzle velocity ni 251m/s
-inaingiza risasi saba kwenye mag yake na pia ni semi automatic pistol
Na log book je ??hapo umekosa suppressor tu ili uqualify kuwa a sniper weapon
Mkuu kwan ni pepa la taifa hili? Au UE? doh, log book kitamboNa log book je ??