huyo ma'mkwe muwanga tuNaombeni ushauri: Nilikuwa likizoni ukweni kwenye nyumba ya self contained na nilikaa kama siku tano hivi na kila siku nilizoea kuamka kama saa mbili asubuhi. Siku ya mwisho niliamka kama saa kumi na mbili alfajiri kwend chooni na nilimkuta mama mkwe akitokea bafuni kuingia chumbani kwake kama alivyozaliwa. Nilirudi mara moja chumbani na sijamwambia mtu yeyote kuhusu mkasa huu, hata mke wangu sijamwambia. Nifanyeje? Je huu ni mkosi? Nawasilisha.
huyu mama ni soo, ameendaje bafuni bila khanga jamani, ni bahati mbaya tu wala hamna mila wala nini
<br />ningekuwa mimi ningemsalimia halafu ningetabasam nione kama naye angetabasam halafu tungemaliza habari
<br />Naombeni ushauri: Nilikuwa likizoni ukweni kwenye nyumba ya self contained na nilikaa kama siku tano hivi na kila siku nilizoea kuamka kama saa mbili asubuhi. Siku ya mwisho niliamka kama saa kumi na mbili alfajiri kwend chooni na nilimkuta mama mkwe akitokea bafuni kuingia chumbani kwake kama alivyozaliwa. Nilirudi mara moja chumbani na sijamwambia mtu yeyote kuhusu mkasa huu, hata mke wangu sijamwambia. Nifanyeje? Je huu ni mkosi? Nawasilisha.
na wewe si ulizoea kuamka sa 2 sa kwa nni siku hyo uamke sa 12???
Naombeni ushauri: Nilikuwa likizoni ukweni kwenye nyumba ya self contained na nilikaa kama siku tano hivi na kila siku nilizoea kuamka kama saa mbili asubuhi. Siku ya mwisho niliamka kama saa kumi na mbili alfajiri kwend chooni na nilimkuta mama mkwe akitokea bafuni kuingia chumbani kwake kama alivyozaliwa. Nilirudi mara moja chumbani na sijamwambia mtu yeyote kuhusu mkasa huu, hata mke wangu sijamwambia. Nifanyeje? Je huu ni mkosi? Nawasilisha.
Naombeni ushauri: Nilikuwa likizoni ukweni kwenye nyumba ya self contained na nilikaa kama siku tano hivi na kila siku nilizoea kuamka kama saa mbili asubuhi. Siku ya mwisho niliamka kama saa kumi na mbili alfajiri kwend chooni na nilimkuta mama mkwe akitokea bafuni kuingia chumbani kwake kama alivyozaliwa. Nilirudi mara moja chumbani na sijamwambia mtu yeyote kuhusu mkasa huu, hata mke wangu sijamwambia. Nifanyeje? Je huu ni mkosi? Nawasilisha.
ukipost thread.. basi visit tena uone majibu na maswali.. then reply.. so unapost na kutimka.. watu wanakuuliza, nyumba yako self, kisha unasema unaamka kwenda chooni, kisha unakumbana na mamkwe on way.. ah labda unamaana yako unayoijua kuhusu self contained house.. kimsing sell contained room au house, ni nyumba ambayo mtu mmoja anaweza kufanya faragha zake (self).. sasa mwenzetusisi hiyi faragha yako kisha mamkwe.. kisha bamkwe.. ah .. UNANCHANGANYA TU..
Inaonekana huyu mama hajatulia!!Abomination oooh!
Ni bahati mbaya kama ulivyosema, na mama mkwe was taking a very big risk walking around naked.
Inaonekana huyu mama hajatulia!!