Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Ukiona manyoya................................
Ujue keshaliwa fastaaaa!!
Ukiona manyoya................................
Pole ! Binti yaonekana yameshakujiri, ukisikia kelele za mtoto hospitali chumba cha sindano maanake sirinja inapenetreti !
Kwako nitafanya exception, sitatoboa siri.
kwan kuliwa ajab? Ingekua tayar ningetoa na tbs ya gem zima ila alivo nywea nikajua hawez kitu.
kama ilivo kawaida ya wana jf kujifanya mwajua. Kaja na gxmia nimeenda na jeep version 2010 akanywea na kua mdogo kama vile sio kidume kilichokua cha jidai pm. Pole zake cku nyingne jpange kaka
ni mtu flan,ngoja nitakutajia baadae.Lol...
Ndio umeamua kuanza mwaka hivi??
Tusimulie yote basi baada ya kuonana...
Kitu pekee ninauhakika nacho huyo sio MTM...
Kumbe bado kigori
Hujamuumbua mwanamme
Umejiumbua uliyejirahisi kwa PM tu
Kabla hujamuumbua mtu angalia na kwako itaonekanaje!!
Afu huna kifua cha kuweka kitu
GX100 umeshindwa kuiweka kifuani
Je, ukipewa makubwa si utaenda tangaza ITV
Hovyoooo!
Mkuu badirisha ID yako kwanza, la sivyo
hawezi kukuamini. Aliyeumwa na nyoka akiona gogo...
kwan kuliwa ajab? Ingekua tayar ningetoa na tbs ya gem zima ila alivo nywea nikajua hawez kitu.
Ndio maana nikatoa ahadi ya kufanya exception to the general rule!
mbona unamwaga povu au hii ID yako nyingine? kaumbuka kwa taarifa yako!
Haijalishi kama ni ID yangu au lah!
Ninachosema ni kuwa
Umebwabwaja!
Na wewe uliyetongozeka kwa PM
Ndo umejiumbua zaidi
Hata kama ungeenda na Vog ya 2012
Sasa ukiolewa weye, siku mumeo ana presha
Jogoo kashindwa kuwika
si majirani wote wataambiwa?!!!
Huna kifua cha mwanamke ndio nachojaribu kukueleza.
huyo kaka sio mara yake ya kwanza inavyoonesha sbb huwezi kumvamia
mwanamke siku za mwanzo na kuanza kutongoza kwa kujinadi vitu vya hali ya juuuu
wapo wenzangu wengi watakua wameingia mkenge tokana ha hizo pvt msg nilijua kabisa
ni wale wale ambao hutumia pesa kama fimbo kwa wanawake wanyonge.
nimeenda pale nikitaka kuhakikisha na ukweli ndio huo kua aache hio tabia mbaya!
nashindwa kuelewa wewe imekuuma nini hasa?
huo ni ujumbe kwake kua sio kila mwanamke ni mshamba kwa watu wenye pesa!
kama ilivo kawaida ya wana jf kujifanya mwajua. Kaja na gxmia nimeenda na jeep version 2010 akanywea na kua mdogo kama vile sio kidume kilichokua cha jidai pm. Pole zake cku nyingne jpange kaka
Unaua Kongosho......taratibu...Ungemjibu kwa PM, na kumuuambua kwa PM
Mliyaanzia kwenye PM
Mngeyamaliza kwenye PM
Kama unajua maana ya ustaarabu
Mwehu akikuponda ya yai vinza, na wewe uchukue yai vinza umponde???
Mbona wakati anaanza tu kukutongoza
Zile popoz zake zote za PM
Ungekopi na kupaste hapa
Nadhani umgemuumbua zaidi
Kwa sasa natafsiri hamkukubaliana terms tu
He was one of your interest
Hivi nachoma mafuta yangu na muda kumfuata bazazi??
Pia nakutafsiri unaweza kwenda extreme za ku-blackmail mtu
Kama umeamua kumuumbua kwa staili hii
Akchwali, umenitisha