Nimemtumia message hii mpenzi wangu sasa hivi, nisaidieni mawazo

Baby are u okay, i can't reach u thru phonecall since y'day nyt, this is not normal ,am so much worried about u my baby if ur ok or u got problem, letme knw ASAP. UPDATES; 15:20 amenipigia kwa namba nyingine amesema line yake ili block ndo anajaribua kuwasiliana na ntwk operator wai unlock.. Ua langu lol karoho keupe sasa nifanyekazi kwa ari mpya.
Ebu nipe nur yake nimuulize anajisikiaje kuwa na wewe ktk lv!
 
Sometime we need to give them a time to miss us.............................................
 
samahani kukwambia kwamba ''umeibiwa''!nina uzoefu wa muda mrefu sana na hii michezo na kwa asilimia themanini na tano,mpenzio anakudanganya.kutokuwa hewani ni fursa nzuri kwake kupigwa!long distance hizi!!
 
Duh! pole sana mchemsho. Ila mapenzi yakianza yanakuwa matamu ile mbaya ngoja yakolee utaona chungu yake.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom