Jana nikiwa class nilijikuta nashindwa kusoma baada ya kuka na mdada aliyenivutia kimapenzi.
Sikuficha hisia zangu kipindi kikiwa kinaendelea nikamweleza kwamba ukaribu wake pamoja nami umeniwekea kikwazo kwa kutomsikiliza lecturer.Nikamwomba namba kisha aka-ahidi baada ya kipindi angenipatia.
Ni kweli alinipatia,nilipopiga kumjulisha namba zangu na kutaka kujua rum namba yake nikakuta simu inapokelewa na Mchizi na si yeye.Je huu ni ustaarabu?
Sikuficha hisia zangu kipindi kikiwa kinaendelea nikamweleza kwamba ukaribu wake pamoja nami umeniwekea kikwazo kwa kutomsikiliza lecturer.Nikamwomba namba kisha aka-ahidi baada ya kipindi angenipatia.
Ni kweli alinipatia,nilipopiga kumjulisha namba zangu na kutaka kujua rum namba yake nikakuta simu inapokelewa na Mchizi na si yeye.Je huu ni ustaarabu?