Laigwanan76
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 551
- 153
Nimepitisha majicho
Kaka usituzuge.....hii kahawa kabisaaaaa......wenye kukataa ile mambo huwa hawasemi!
Nimepitisha majicho
Kuna jimama moja apa mtaani limekuwa likarimu sana kwangu hata akisafiri nyumba yake ananiachia mimi,zawadi kibao,na mkwanja ananiachia,jana ndo kafunguka eti ananipenda ikanibidi mtoto wa kiume nimpe live kama simuhitaji loooooh!alichoka.
Kuna jimama moja apa mtaani limekuwa likarimu sana kwangu hata akisafiri nyumba yake ananiachia mimi,zawadi kibao,na mkwanja ananiachia,jana ndo kafunguka eti ananipenda ikanibidi mtoto wa kiume nimpe live kama simuhitaji loooooh!alichoka.