Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Najua mlinimiss... Here I am!
Mimi ambaye ni acting rais wa Chit-Chat (usiniulize nimechaguliwa na nani), natangaza rasmi uteuzi wa huyu member View Profile: Kigarama - JamiiForums | The Home of Great Thinkers kuwa mleta taarifa za siasa humu kwenye jukwaa letu.
Nimepokea malalamiko yenu mengi kuhusu mahudhurio yetu finyu kule kwenye jukwaa la siasa, sababu kubwa ikiwa ni maandishi ya kule kutoeleweka. Utakuta ukurasa mzima wa thread una post tano tu kutokana na urefu wa post zao kama filimu ya kihindi, sisi yametushinda hayo.
Kwa vile mimi ni rais msikivu, nimeyasikia madai yenu. Kwa vile Kiggy ni Multi-agent, anaweza kuchukua taarifa kule JS na kuzileta humu katika namna inayotufaa na yeyote akatoa comment yake kwa namna anayoona inafaa bila kuambiwa 'cr.ap' au 'up.upu'.
Uteuzi huu una-take effect sasa hivi usomapo post hii!
Mimi ambaye ni acting rais wa Chit-Chat (usiniulize nimechaguliwa na nani), natangaza rasmi uteuzi wa huyu member View Profile: Kigarama - JamiiForums | The Home of Great Thinkers kuwa mleta taarifa za siasa humu kwenye jukwaa letu.
Nimepokea malalamiko yenu mengi kuhusu mahudhurio yetu finyu kule kwenye jukwaa la siasa, sababu kubwa ikiwa ni maandishi ya kule kutoeleweka. Utakuta ukurasa mzima wa thread una post tano tu kutokana na urefu wa post zao kama filimu ya kihindi, sisi yametushinda hayo.
Kwa vile mimi ni rais msikivu, nimeyasikia madai yenu. Kwa vile Kiggy ni Multi-agent, anaweza kuchukua taarifa kule JS na kuzileta humu katika namna inayotufaa na yeyote akatoa comment yake kwa namna anayoona inafaa bila kuambiwa 'cr.ap' au 'up.upu'.
Uteuzi huu una-take effect sasa hivi usomapo post hii!