Nimemtega hategeki, huyu mwanaume vipi?

Duh!

Llakini anza kwa kufikiri in worst scenario kuwa huyo rafiki unayemwita mchumba anakudanganya ila yuko tayari kukupa ujauzito.. then..
  • Ni kweli itakuwa faraja na raha kwako kupata mtoto..
  • Lakini inaweza kuwa karaha kidogo kwa mtoto kulelewa na mzazi mmoja wakati baba yuko hai..atajisikiaje? Jiweke sehemu ya mtoto kabla hujaamua..
Ushauri wangu..kupata mtoto siyo issue ..unaweza ku-pm vijana kibao hapo jamvini ukacheki afya zao halafu wakakutundika mimba... Issue ni maisha yenu ya baadaye..wewe na mtoto..Hapo baadaye unaweza toa machozi wakati mtoto akikuuliza swali moja tu halafu ukajiona ulikuwa selfish..

Anyway.. Fikiri kwanza Kupata mtoto bila kuwa na baba mwenye msimamo halafu amua.. na jitarishe kwa yote.. inawezekana ila inatakiwa ujitayarishe kisaikolojia..
napenda kuwa na mtoto kuliko chochote tulizo
 
Hivi mkuu hawa watu wa kusubiri ndoa wapo kweli siku hizi
Na huyo kijana amelelewa katika mazingira gani maana dunia inafundisha zaidi ya walimu na wazazi
Ukitoka tuu nje ya geti unakutana na vimwana shule ndio usiseme na hata huko makanisani ni balaa
Sasa huyo jamaa kalelewa wapi hajaona hao wote
Mkuu hata mimi siikubali kwa dunia yetu ya leo, labda awe na hitilafu katika mwili!
 
Mkuu hata mimi siikubali kwa dunia yetu ya leo, labda awe na hitilafu katika mwili!


Mkuu hapo kuna issue behind bana
Kwa hali ya sasa hivi mtu akisema hajawahi kujaribu hadi anafikia kuoa ni balaa
May be mtoto wa form four tena wa seminary akisema tunaweza kumwamini ila mtu mzima miaka 30 bado unasema hujawahi duh
 
napenda kuwa na mtoto kuliko chochote tulizo

Hilo linawezekana kwani hata ndoa haina guarantee kuwa itadumu maisha...Pia kuna kinamama wengi wamelea watoto wenyewe..Kikubwa jipange na amua bila kumtegemea huyo jamaa..Kama ikitokea amekubali kuwa baba basi ni vyema otherwise, Jiamini mwenyewe kwa yote.. hata kama utaamua kufanya surprise au kumtegeshea wakati wa siku za red..Kikubwa jitayalishe kwa maisha marefu ya furaha kati yako na mtoto bila kutegemea kiumbe mwingine..
 
Mkuu hapo kuna issue behind bana
Kwa hali ya sasa hivi mtu akisema hajawahi kujaribu hadi anafikia kuoa ni balaa
May be mtoto wa form four tena wa seminary akisema tunaweza kumwamini ila mtu mzima miaka 30 bado unasema hujawahi duh
Mkuu hata hao hao wa primary wanamegana, jana haukuona thread moja mama kawafuma wanae wa kiume wanamegana wao kwa wao! Sembuse jitu zima liwe haliwajahi kuona kitumbua cha mzima? Si bure huyo kuna sehemu anapoza, kama sivyo basi kutakuwa na shughuli hapo mbele kwa dada yetu Smile!
 
Duh!

Llakini anza kwa kufikiri in worst scenario kuwa huyo rafiki unayemwita mchumba anakudanganya ila yuko tayari kukupa ujauzito.. then..
  • Ni kweli itakuwa faraja na raha kwako kupata mtoto..
  • Lakini inaweza kuwa karaha kidogo kwa mtoto kulelewa na mzazi mmoja wakati baba yuko hai..atajisikiaje? Jiweke sehemu ya mtoto kabla hujaamua..
Ushauri wangu..kupata mtoto siyo issue ..unaweza ku-pm vijana kibao hapo jamvini ukacheki afya zao halafu wakakutundika mimba... Issue ni maisha yenu ya baadaye..wewe na mtoto..Hapo baadaye unaweza toa machozi wakati mtoto akikuuliza swali moja tu halafu ukajiona ulikuwa selfish..

Anyway.. Fikiri kwanza Kupata mtoto bila kuwa na baba mwenye msimamo halafu amua.. na jitarishe kwa yote.. inawezekana ila inatakiwa ujitayarishe kisaikolojia..
bonge la ushauri
 
Mkuu hata hao hao wa primary wanamegana, jana haukuona thread moja mama kawafuma wanae wa kiume wanamegana wao kwa wao! Sembuse jitu zima liwe haliwajahi kuona kitumbua cha mzima? Si bure huyo kuna sehemu anapoza, kama sivyo basi kutakuwa na shughuli hapo mbele kwa dada yetu Smile!

Kabisa aise
Ajiandae tuu kwenda kutoa darasa
Au anaweza kukutana na kitu akatoka na kanga moja ndani ya nyumba
Yote yanawezekana mkuu
 
Hii nimeisoma punde katika toleo la 'Newsweek la wiki hii haka ka headline:
Preganancy through PM's now possible:
vipi nimwambie Rejao akurushie ka mbegu fasta kupitia PM?
Smile utamueweza basi? hizo nimeshazituma sana...
 
Ndo hapo mkuu
Kuna watu wanaogopa wenzao wasione mambo zao maana itakuwa balaa na bibie anaweza asirudi tena
Bora lawama aise
Lakini kwa jinsi unavyomuona Smile, kama anakuta shughuli pevu si hapo hapo anamwaga manyanga? Maana dada yetu mwenyewe namuona "uso wa mbuzi" hakawii kukutoa nishai.
 
Lakini kwa jinsi unavyomuona Smile, kama anakuta shughuli pevu si hapo hapo anamwaga manyanga? Maana dada yetu mwenyewe namuona "uso wa mbuzi" hakawii kukutoa nishai.

Akinitoa nishai kuwa amekutana na kitu sicho hapo ni sifa kwangu
Mimi nitajali nini
Ni yeye aibu yake kuwa ameshindwa gwaride la jeshi ameamua kurudi uraiani
 
Akinitoa nishai kuwa amekutana na kitu sicho hapo ni sifa kwangu
Mimi nitajali nini
Ni yeye aibu yake kuwa ameshindwa gwaride la jeshi ameamua kurudi uraiani

Alafu siku zote kwenye miti mkuu hakuna wajenzi, bahati mbona hazijagi kwa mwanaluwala! aaaaaaaaahg!
 
Back
Top Bottom