Dah jf ina mambo yaani kwa sababu nimeomba ushauri wa kuoa ndio naitwa eti mzee. Kisa nina miaka 37.
Kwani huwa haiingii vizuri au?anyway,please wekeni picha zenu basi.Ndugu wadau naomba ushauri. Mimi ni muajiriwa na nina kazi nzuri tu .umri wangu ni miaka 37 elimu yangu ni ya chuo kikuu nina degree 2 (masters) . Kutokana na sababu binafsi nimechelewa kuoa na sijafikilia kwa hivi karibuni. Na tabia yangu ilikuwa ni kupenda starehe . Ila nimekuja kustuka sasa umri umeenda na sina mke wala mtoto . Wanaume wa age yangu wote wana familia. Wanawake wameshaolewa. hivi karibuni nimepata gf mwenye umri wa miaka 19. Yuko chuo first year chuo . Nimempenda naye amenipenda. Na nimemtoa bikira na natamani kudumu naye na yeye pia anataka hivyo yaani tuje tuoane.. nikifikiria naona kama umri ni tatizo. Lakini mimi nina umbo zuri na dogo kwa muonekano naonekana kama nina miaka 27 au 28. WADAU NAOMBENI USHAURI JE HILI HALITANISUMBUA KWANI HUYU MWANAMKE NILIMDANGANYA UMRI WANGU PIA YEYE ANAJUA TUMEPISHANA MIAKA 7 . LAKINI NI 17
kwa elimu ya masters unauliza swali kam hilo basi elimu yako ni makorokocho
Sioni kama ni tatizo, kwani hizo degree zako mbili una hakika zinaendana na umri wako?
Mwanzo nilijua ningepiga na kusepa . Lakini nikaja kuona nimeganda na yeye kafika. Kinachoniogopesha sasa ni kuwa nitazeeka kabla yake ndio kitu nachohofia
Ndugu wadau naomba ushauri. Mimi ni muajiriwa na nina kazi nzuri tu .umri wangu ni miaka 37 elimu yangu ni ya chuo kikuu nina degree 2 (masters) . Kutokana na sababu binafsi nimechelewa kuoa na sijafikilia kwa hivi karibuni. Na tabia yangu ilikuwa ni kupenda starehe . Ila nimekuja kustuka sasa umri umeenda na sina mke wala mtoto . Wanaume wa age yangu wote wana familia. Wanawake wameshaolewa. hivi karibuni nimepata gf mwenye umri wa miaka 19. Yuko chuo first year chuo . Nimempenda naye amenipenda. Na nimemtoa bikira na natamani kudumu naye na yeye pia anataka hivyo yaani tuje tuoane.. nikifikiria naona kama umri ni tatizo. Lakini mimi nina umbo zuri na dogo kwa muonekano naonekana kama nina miaka 27 au 28. WADAU NAOMBENI USHAURI JE HILI HALITANISUMBUA KWANI HUYU MWANAMKE NILIMDANGANYA UMRI WANGU PIA YEYE ANAJUA TUMEPISHANA MIAKA 7 . LAKINI NI 17