BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Akinitosa nitaona JF kuchungu we,utafanyaje kama ni wewe
Unaingizana na ID mpya kupitia lile jukwaa la utambulisho.
Akinitosa nitaona JF kuchungu we,utafanyaje kama ni wewe
Je, alikutishia kukutungia sredi??! lol
AD hatimaye dear... not seen you kabisa leo... vipi weekend was it good?
hakuna haja ya kuogopa mambo madogo,if you can not handle the rejection of someone you hardly know,i do not know what you can handle!!
Maisha yataendelea tu uwe na amani.....ukiona tabu sana we ni PM mimi nitakusaidia kumwambia na kumwelewesha.....:dance::dance::dance:
mie nipo mpenzi
w/end ilikuwa kawaida tu ( kazini mmhh)
na nilikuwa nasubiria kufa ( doomsday)
lakini naona Mwenyenzi Mungu kanisamehe
kuna kazi kanipa lakini bado sijaikamilisha
hahahahhaha lol
Vipi my dear weekend yako ilikuwaje??
na maisha kwa ujumla??
Siyo mbaya hata dume mwenzio inalipa tu.
Hahahahahah we Remmy we! Ni aje!? unamchuuza mwenzio eeh!? hahahahah
tatizo la online ni copy&paste maneno matamu au zile pickup lines...sasa siku wanapanga date anatokea 'njemba' mwezie...hapo ndo patamu!!
Excellento, usiwe domo zege ila tu uwe mwangalifu yani usiingie mzima mzima!!..
Belinda i'm already bored hayse,ila heri kupotezea
Babu Ataka Kusema.............mi nimekuelewa kabisa na sikulaumu uko wazi,but heri watu kuwa wakweli kuliko kuwa na kejeli za kinafki,heri mtu kushauri kuliko kuponda,heri mtu kuongea kuliko kusuta,Nina siku mbili jana na leo kukaa kwenye hii site na ndo nilijiunga but watu wananiponda kisiri,kinafki na reply zao ila naelewa kwa vile ninauzoefu,heri mtu kusema umekosea kuliko kejeli,tumekulia mazingira na habit tofauti but heri kuwa wazi.Usiboreke Excellent! majina ya humu ndani mengine si rahisi kujua jinsia ya mhusika hivyo inabidi kuwa muangalifu..na wengine hata wakiulizwa jinsia zao wanaminya tu.
Excellent, labda kukuonya tu mkuu kabla hujaenda mbali na kuingia mkenge, ni kuhusu demu mmoja humu jina lake linaishia na "Roza"... jichunge naye mkuu, maana neno lililopo hapa mjini ni kuwa demu yule ni msagaji!!!
Lazima atakuwa ni Husninyo tu
Ngoja nim-text kwa mobile