Nimempenda girl wa humu JF.

AD hatimaye dear... not seen you kabisa leo... vipi weekend was it good?

mie nipo mpenzi
w/end ilikuwa kawaida tu ( kazini mmhh)
na nilikuwa nasubiria kufa ( doomsday)
lakini naona Mwenyenzi Mungu kanisamehe
kuna kazi kanipa lakini bado sijaikamilisha
hahahahhaha lol

Vipi my dear weekend yako ilikuwaje??
na maisha kwa ujumla??
 
hakuna haja ya kuogopa mambo madogo,if you can not handle the rejection of someone you hardly know,i do not know what you can handle!!

Maisha yataendelea tu uwe na amani.....ukiona tabu sana we ni PM mimi nitakusaidia kumwambia na kumwelewesha.....:dance::dance::dance:

Msaidie kijana, afeel at home!!!
 
M-PM lakini usiende direct unaweza kuja kuumbuka, kama atarespond PM zako basi anza kumdadisi kwa umakini usije ukaopoa Dada, Shangazi au shemeji yako maana ID za humu zinzkonfyuzi
 
pole sana sasa kama unamuogopa unataka nan akusaidie kumwambia? Hebu kuwa mtu mzma na uc2haibishe
 
mie nipo mpenzi
w/end ilikuwa kawaida tu ( kazini mmhh)
na nilikuwa nasubiria kufa ( doomsday)
lakini naona Mwenyenzi Mungu kanisamehe
kuna kazi kanipa lakini bado sijaikamilisha
hahahahhaha lol

Vipi my dear weekend yako ilikuwaje??
na maisha kwa ujumla??


Naona Mungu katuurumia wote...lol... mimi ya kwangu hamna la
maana sana nimefanya but all in all ilikua OK. Familia yangu haipo this
weekend hivyo inakua kama ki off fulani hivi, vikazi vimepugua kiasi...
Enways nimekaa mda mrefu kweli jamvini am about to log off...
Good nite and sweet dreams ukipumzika...
 
Hahahahahah we Remmy we! Ni aje!? unamchuuza mwenzio eeh!? hahahahah :)

tatizo la online ni copy&paste maneno matamu au zile pickup lines...sasa siku wanapanga date anatokea 'njemba' mwezie...hapo ndo patamu!!

Excellento, usiwe domo zege ila tu uwe mwangalifu yani usiingie mzima mzima!!..
 
tatizo la online ni copy&paste maneno matamu au zile pickup lines...sasa siku wanapanga date anatokea 'njemba' mwezie...hapo ndo patamu!!

Excellento, usiwe domo zege ila tu uwe mwangalifu yani usiingie mzima mzima!!..

Belinda i'm already bored hayse,ila heri kupotezea
 
Belinda i'm already bored hayse,ila heri kupotezea

Usiboreke Excellent! majina ya humu ndani mengine si rahisi kujua jinsia ya mhusika hivyo inabidi kuwa muangalifu..na wengine hata wakiulizwa jinsia zao wanaminya tu.
 
Excellent, labda kukuonya tu mkuu kabla hujaenda mbali na kuingia mkenge, ni kuhusu demu mmoja humu jina lake linaishia na "Roza"... jichunge naye mkuu, maana neno lililopo hapa mjini ni kuwa demu yule ni msagaji!!!
 
Usiboreke Excellent! majina ya humu ndani mengine si rahisi kujua jinsia ya mhusika hivyo inabidi kuwa muangalifu..na wengine hata wakiulizwa jinsia zao wanaminya tu.
Babu Ataka Kusema.............mi nimekuelewa kabisa na sikulaumu uko wazi,but heri watu kuwa wakweli kuliko kuwa na kejeli za kinafki,heri mtu kushauri kuliko kuponda,heri mtu kuongea kuliko kusuta,Nina siku mbili jana na leo kukaa kwenye hii site na ndo nilijiunga but watu wananiponda kisiri,kinafki na reply zao ila naelewa kwa vile ninauzoefu,heri mtu kusema umekosea kuliko kejeli,tumekulia mazingira na habit tofauti but heri kuwa wazi.
 
Excellent, labda kukuonya tu mkuu kabla hujaenda mbali na kuingia mkenge, ni kuhusu demu mmoja humu jina lake linaishia na "Roza"... jichunge naye mkuu, maana neno lililopo hapa mjini ni kuwa demu yule ni msagaji!!!

Steve Dii hahahhaha heri huta umeniambia brother
 
Back
Top Bottom