Jamani nimejikuta nampenda girl mmoja humu JF,kumweleza ndo ishu mana naogopa haya majina yanaweza yasiwe ya kike.
Lazima aonyeshe kwanza dalili za kushoboka hayse
Jamani nimejikuta nampenda girl mmoja humu JF,kumweleza ndo ishu mana naogopa haya majina yanaweza yasiwe ya kike.
Yaani nilipoona uzi wako hapa nikajiuliza Dah! why all this threads... kumbe you are seeking attention... sasa nimekupata... Hope it works out.