Hebu fikiria kuwa Livingstone Lusinde ni shemeji yako
Ukiolewa au kuoa mkuria, unategemea nini. Muhindi ni muhindi awezi kuwa mwarabu.
je wewe mstaarabu? watu wa kabila lako ni wastaarabu? na definition yako ya ustaarabu ni nini? ikoje?
je katika maisha yako ya ndoa ndugu zako hawatakuja kwako? au wako ruksa wa mwenzio mzigo?
kuna kabila hapa tanzania ambalo ndugu hawaamii temporarily au permanently?
na ndugu kama hamuwataki si mnakubaliana tu? mradi wako wasije na wamwenzio wasije?
wewe ndugu zako hutowalea?
wazazi wako hutowalea?
kaka zako na dada zako?
au wako kulea ruksa wa mwenzio mzigo?
jinsi unavyotaka ndugu/wazazi wako wawe treated ndivyo tendea ndugu wa mwenzio...
je wewe msafi?
je mpenzi wako msafi?
ndoa ni kujitoa na kukubaliana....
mwisho...
ukitaka kuoa usiwe mchoyo, mbinafsi, usimwazie mwenzio madharau....
mjudge mtu kutokana na yeye alivyo,
judge familia yake baada ya kuijua na kuisoma....
Yule nimeshampiga chini kutokana na maoni ya wadau wengi. Sasa nimeanguka kwa mgogo nataka mkabidhi moyo wangu wote.
hahaha na wiliam Malecela.Hebu fikiria kuwa Livingstone Lusinde ni shemeji yako
yaani mkuu umenifurahisha sana na ushauri wako, nakupa like kama laki hivi.....hongera sana mkuu kwa hekima zako, hapa jamaa anatakiwa ajibu maswali uliyomuuliza...asante sana umewasilisha vema.....:A S thumbs_up:
Man always right, sina cha kumjubu. Kwa upande wangu kila kitu swafii
Hebu fikiria kuwa Livingstone Lusinde ni shemeji yako
Nimedokezwa tabia za hili kabila ambazo ni
Ustarabu kwao sifuri
Nitegemee wageni wajao bila taharifa (Kuhamia)
Nitegemee kuwalea wakwe zangu, shemeji na kadhalika
Usafi kwao ni zile nguo wazivaazo kwa siku hiyo.
Ndugu zangu, je kuna ka ukweli kokote?
Nimedokezwa tabia za hili kabila ambazo ni
Ustarabu kwao sifuri
Nitegemee wageni wajao bila taharifa (Kuhamia)
Nitegemee kuwalea wakwe zangu, shemeji na kadhalika
Usafi kwao ni zile nguo wazivaazo kwa siku hiyo.
Ndugu zangu, je kuna ka ukweli kokote?