Nimempenda Dada kabila Mgogo ili nimuoe ila

kwamtoro unaonekana huna pendo la dhati kwa binti huyo.
Kwanini unafanya generalization na kuhisi, kama una nia ya kweli
fuatilia uifahamu familia yake! Sikubaliani nawe kuwa watu wooote wa kabila moja
wanatabia za kufanana. Hata hivyo hayo mapungufu mbona yapo hata kwa makabila
mengine? Issue hapo siyo kabila! Bado tunafikiria makabila! We still have a long way to go.
 
Last edited by a moderator:
kwamtoro vituko haviishi, vipi na yule demu wako mwenye tatoo kwenye paja na kwenye makalio ushampiga chini/ mpaka unataka kuchukua mgogo?

Yule nimeshampiga chini kutokana na maoni ya wadau wengi. Sasa nimeanguka kwa mgogo nataka mkabidhi moyo wangu wote.
 
Na kile cha kati kimetolewa asa sijui utashika nini na kulamba ili upate flavour..ila kama unapenda hayo yote sio tatizooo

Nitakomaa mpaka niakikishe mwenyewe ipo au amna, la sivyo sitokubali kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
yaani mkuu umenifurahisha sana na ushauri wako, nakupa like kama laki hivi.....hongera sana mkuu kwa hekima zako, hapa jamaa anatakiwa ajibu maswali uliyomuuliza...asante sana umewasilisha vema.....:A S thumbs_up:
je wewe mstaarabu? watu wa kabila lako ni wastaarabu? na definition yako ya ustaarabu ni nini? ikoje?




je katika maisha yako ya ndoa ndugu zako hawatakuja kwako? au wako ruksa wa mwenzio mzigo?
kuna kabila hapa tanzania ambalo ndugu hawaamii temporarily au permanently?

na ndugu kama hamuwataki si mnakubaliana tu? mradi wako wasije na wamwenzio wasije?





wewe ndugu zako hutowalea?
wazazi wako hutowalea?
kaka zako na dada zako?
au wako kulea ruksa wa mwenzio mzigo?

jinsi unavyotaka ndugu/wazazi wako wawe treated ndivyo tendea ndugu wa mwenzio...




je wewe msafi?
je mpenzi wako msafi?




ndoa ni kujitoa na kukubaliana....
mwisho...
ukitaka kuoa usiwe mchoyo, mbinafsi, usimwazie mwenzio madharau....
mjudge mtu kutokana na yeye alivyo,
judge familia yake baada ya kuijua na kuisoma....
 
ina maana wewe mawazo yako na maamuzi yako yote yanategemea watu wengine? so huna maamuzi binafsi?duh, basi ndoa kwa sasa acha kwanza endelea na starehe zako kwanza....pole sana mkuu!
Yule nimeshampiga chini kutokana na maoni ya wadau wengi. Sasa nimeanguka kwa mgogo nataka mkabidhi moyo wangu wote.
 
yaani mkuu umenifurahisha sana na ushauri wako, nakupa like kama laki hivi.....hongera sana mkuu kwa hekima zako, hapa jamaa anatakiwa ajibu maswali uliyomuuliza...asante sana umewasilisha vema.....:A S thumbs_up:

Man always right, sina cha kumjubu. Kwa upande wangu kila kitu swafii
 
jina lako kwamtoro.......najua huko dodoma kuna sehemu inatwa kwamtoro....wanatoka warangi...
niambie kama wewe ni mrangi afu nitakupa ushauri ufanyeje hapao!!!
 
Nimedokezwa tabia za hili kabila ambazo ni

Ustarabu kwao sifuri
Nitegemee wageni wajao bila taharifa (Kuhamia)
Nitegemee kuwalea wakwe zangu, shemeji na kadhalika
Usafi kwao ni zile nguo wazivaazo kwa siku hiyo.

Ndugu zangu, je kuna ka ukweli kokote?

Hakuna ukweli wwte, tabia mara nyingi ni inatokana na backgrown ya mtu, wagogo ni watu wastaarabu unless ulikoroge mwenyewe na ukilikoroga utalila kwa kweli, kwa usafi ni wasafi ( ingawa usafi is a personal habit ki zaidi) dont expect wageni kuhamia kwako, hawa watu wana nidhamu kwa wakwe na mashemeji zao, kuhusu kulea wakwe kama utaoa kabila lolote wenye kipato duni u should expect that, lakini kama wakwe wako vizuri utawalea kwa lipi? so kama umempenda kikweli huyo dada go ahead.
 
Nimedokezwa tabia za hili kabila ambazo ni

Ustarabu kwao sifuri
Nitegemee wageni wajao bila taharifa (Kuhamia)
Nitegemee kuwalea wakwe zangu, shemeji na kadhalika
Usafi kwao ni zile nguo wazivaazo kwa siku hiyo.

Ndugu zangu, je kuna ka ukweli kokote?

pole sana ndugu yangu! TABIA ZOTE HAPO JUU NI SAHIHI, IL NI Lazima uongeze na zifuatazo:

Wadada wa kigogo hawaridhiki
Wadada wa kigogo wanatamaa sana
Wadada wa kigogo hawana upendo wa kweli( wanapenda kunyenyekea sana wanapokuwa na shida ikiisha basi ujeuri mtindo mmoja)
Wadada wa kigogo hawajui kusema hapana (wanapotongozwa-ilimradi uwe na chapaa)
SOURCE:Nimebahatika kuwa na girl friend wa kigogo na uncle wangu kaoa MGOGO anateseka usiombee ndugu yangu huku mke mwenyewe mama wa nyumbani na mzee graduate!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom