CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Usijali...... am just watching your progress!this is enough for now.
king upo,ulikuwa umefichwa wapi?
Usijali...... am just watching your progress!this is enough for now.
kwani we jinsia gani?mana id yako lina utata mtupu
kwani we jinsia gani?mana id yako lina utata mtupu
Natamani nimtaje... Nipe ruhusa yako please, nataka nikutambulishe rasmi.
we na konnie mnanisengenya eh?
Mbona ndo vasi lake rasmi
Tena akiwa anaenda misibani haachi mtandio wa kijani.
Atakuwa LIZZY?, sorry no, Preta? hapana, madameX ERROR!, I guess Mwal NOT THIS ONE . Search.........search.........error!!!!!!!!!!!!!!!!!1 No Network found. Ni huyohuyo wako.
wacha kumkatisha tamaa mwenzio mtaje mwaya tumjue tusije kukunyakulia bure ukajaishia kupata machunguJipe muda, wengi walirudi na machozi...na wengine kuachana na JF kabisa!
jamani da mwali usimkatishe tamaa labda yy wako mno serious than we thinkSasa hapa si mtakua mnajitambulisha wenyewe kwa wenyewe?
Maana ID yako sio jina lako, na yake sio jina lake. Kila kitu siri
Humu couples zinazaliwa na kufa kila kukicha bila watu kuonana
Kama kweli mko serious si mkatambulishane kwa wazazi basi?
kama mshafikia 65% ni vema mana utaishia kutambulishana hapa JF lkn anakuja kuolewa mwingine utajutajeeeeeeHayo unayosema tayari yamefanyika kwa 65% ninachotaka kwa kutumia ID zetu hizihizi mnazozifahamu mpate kujua kuwa tupo pamoja
if you can't kill your enemy, buy himjoin date : 28th january 2012
lengo limetimia. Akikuacha rudi ututtaarifu pia mama usiogope.
Na hongera kwa kumpata.