Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

huna mapenzi ya dhati kwa huyo binti bali unamuonea huruma na kuepuka kuwa mkatili.

Maj, unachokisema ni sahihi, najua kwamba pengine sina mapenzi makubwa sana kwa huyo binti lakini bado si kwamba namchukia kiasi cha kushindwa kuishi naye. Ndo mana nikakubaliana na baadhi ya wanajamvi walioshauri kujifunza kumpenda labda niongeze neno "kwa dhati".

Hili pia litaondoa ukatili na maisha magumu yenye majuto ambayo huenda mwanangu akaja kuishi ama kulelewa na baba wa kambo au mama wa kambo hivyo kuteswa na kunyanyaswa pengine kwani wengi mnajua hawa watu baadhi yao (si wote) walivyo.
 
HuJATULIA, UNAOA SABABU YA HURUMA? HUWEZ JIFUNZA TENA KUMPENDA KAMA MIAKA YOTE HUKUMPENDA, UMEMPOTEZEA MUDA NA KUMUOA NI KUENDELEA KUMTESA CZ U WIL NEVA LOVE LIKE SHE DESERVE..I PRAY TO GOD TO GIVE THAT WOMAN STRENGTH TO MOVE ON, IN OTHERWORDS LET THE GAL GO.
 
Chal
Nilikuwa sijafuatilia Uzi wako kwa muda sasa, nimefurahishwa sana na uamuzi wako wa busara. I am very proud of you brother, na niña amino Mungu atakureward kwa that Nobel act ulitofanya.

May ur marriage be among the few ambayo imefungwa in heaven, may ur family know nothing but happiness n prosperity.

Mwisho nakuomba hata kila baada ya 2 yrs uwe unaleta feedback ya maendeleo ili kuwatia moyo watakaokuwa na situation kama yako.

Stay blessed!
 
Last edited by a moderator:
HuJATULIA, UNAOA SABABU YA HURUMA? HUWEZ JIFUNZA TENA KUMPENDA KAMA MIAKA YOTE HUKUMPENDA, UMEMPOTEZEA MUDA NA KUMUOA NI KUENDELEA KUMTESA CZ U WIL NEVA LOVE LIKE SHE DESERVE..I PRAY TO GOD TO GIVE THAT WOMAN STRENGTH TO MOVE ON, IN OTHERWORDS LET THE GAL GO.

Anaoa kwasababu it is the right thing to do.
Ameweza kuishi naye kwa good 8 years (3 yrs wakiwa chuo, na 5 baada ya chuo) wakiwa wapenzi meaning, anaweza kuishi naye pamoja na kiumbe walichokileta duniani wakiwa familia!
 
Nashukuru sana kwa ushauri wa maneno ambayo nimeandika mwenyewe. Ila uamuzi tayari nimeshafikia

well kumbwe umeshafikia uamuzi hivyo sina haja ya kukushauri tena. Caution!!! "CHUKUA UAMUZI SAHIHI
 
Mi ningependa kukushauri kuwa kama unauhakika mimba ni yako basi jiandae kulea mtoto. kitu kingine umesema kuwa mlipata kazi mikoa tofauti sasa inakuaje hapo. ina maana mliendelea kuwasiliana na kutembeleana. kam ndo hivyo its your fault. next time if you find yourself in such condition its simple, uko mbali nae we anza kupunguza mahusiano kama ulikuwa unapiga simu zaidi ya mara 5 kwa siku, punguza hadi mara 1, na siku ningine usipige. kwa sababu msichana atakuwa anakupenda atakupigi kila mara. akipiga pokea lakini we endelea na msimamo uliojiwekea. Taratiibu utaona nae anaanza kupunguza kukupiga na mwishowe atkuambia kuwa she cant take it any more. hivyo ndivo unaweza kuaachana
na girfriend ambae anakupanda lakini wewe umpendi, bila kumwambia kuwa humtaki.
 
Huyu jamaa ni domo zege mbele ya wanawake, hawezi kujieleza feelings zake. Ndio maana ameweza kuishi na mwanamke asiyempenda kwa miaka nane na bado akampa mimba. Hawezi kumueleza asiyempenda kuwa hana mapenzi naye. Pia hawezi kumueleza anayempenda kuwa anampenda, ndiyo maana licha ya kutompenda huyo anayedai hampendi, hadi leo katika umri wa miaka 34 hana mpenzi mwingine, kifupi hana uwezo wa kumpata. Huyo aliyempata most likely alijitongozesha, na inawezekana kuna factor inayowazuia wengine kujitongozesha. Katika hali kama hii, mhusika hana choice zaidi ya kuoa huyu mama. Asipooa huyu ndio basi tena! Namuombea iwe kweli kuwa huyo mama anampenda kweli kama anavyodai, vinginevyo itakuwa maumivu akija gundua kumbe hapendwi na yeye pia alijua tangu mwanzo kuwa hampendi huyo mwanamke. Kama anaamini wanaume wameumbiwa mateso, basi hili nalo lake ahangaike nalo, si kwa kuwa ana huruma sana na huyo mama, bali kiukweli ni kuwa hana la kufanya, yaani hawezi. Angekuwa na la kufanya na angekuwa na uwezo huo angeshafanya hivyo katika hiyo miaka 8, ni kwamba hana jinsi. Namshauri ajikubali na hali yake, kwamba yuko hivyo hawezi zaidi ya hapo, aoe huyo mama akae naye ndiye wa kwake, hakuna ujanja. Namsikitikia jambo moja, wakikorofishana chochote huko mbele ya safari kitu cha kwanza huyo bwana atakumbuka kuwa hakumtaka huyu mama toka mwanzo, na ataweka chuki isiyoisha. Kila kosa lake hata liwe dogo ataliona kubwa sana. Hatamvumilia kwa lolote. Huyu mama atakuwa anaishi kama amevaa koti lenye *****, hatakuwa na amani. Hata ukimwambia unampenda hatakuamini, maana kwa kiwango hicho cha elimu unachosema nina uhakika hata hapa anapitia, na mjadala ameuona, na sababu zako za kumuoa amezisoma. Hapo hajakutana na mawifi vichwa moto, kila kibaya chake watakachokuambia utaamini maana humpendi. Hutamtetea huyo mama kwa lolote. Yaani zile wanazoita pingu za maisha nyie ndo hasa mtakutana nazo, msoto wa ukweli. Hii amani unayojisikia kuikosa sasa hivi, nakuhakikishia hali kama hii itarudi mara kumi! Mimi nimeoa miaka 13, na huwa tunakutana na changamoto za hapa na pale, na hata mke wangu akiniudhi jambo nikikumbuka tu ninavyompenda huwa nasamehe hapohapo. Kuna wakati naweza kuwa nimeudhika jambo lakini nikitafakari nilipokuwa namfukuzia miaka ile, jinsi nilivyokuwa nabembeleza na nilivyofurahi alivyokubali, na mambo mengine mengi mazuri tuliyofurahia pamoja enzi ya uchumba wetu, nikifikiria machache tu ya hayo basi kosa hata wengine walione kubwa mimi naliona dogo sana na kulifuta mara moja. Hutaweza kufanya hivyo kwa mkeo kwa sababu hujawahi kumpenda. Mimi kabila letu ni wabaguzi, ndugu zetu hawakupenda nioe kabila nilikooa, nilipingwa na napingwa hadi leo, yani mke wangu asifanye lolote utasikia tu maneno 'tulisema!'. Lakini kwa kuwa nampenda sana mke wangu yote hayo huwa nayapuuza, na sasa hivi hakuna anayeniambia ujinga wowote. Wewe hutaweza kusimama upande wa mkeo namna hii kwa sababu humpendi. Lakini bado unalazimika kumuoa maana ndiyo hali yako ilivyo. Cha muhimu kwako ni kufanya mazoezi ya kujikubali kama mlemavu wa miguu anavyojikubali na kuona kusota kwa mikono ndiyo njia pekee ya kumwezesha kutembea, wewe jikubali na hali yako hiyo na changamoto zake ndizo hizo nilizokutajia baadhi tu.
 
Duuh!subiri ajifungue umwambie ukweli coz mapenz hayalazimishwi na ukijilazisha wote mtaishi kwashida sana. Its beta ukawa wazi kwake siyo sasa ila baada ya kujifungua coz ukweli utakufanya uwe huru zaidi. Ila kwa miaka yako kama hujaoa na huna hata mtoto nakusikitikia sana japokuwa yanaweza kuwa ndiyo malengo yako.
 
Ushauri wako mzuri sana nauheshimu ingawa umenipa wakati mgumu sana kusoma, naamini hata wengine pia kwani maneno ni mengi yakiwa hayana aya.

Anyway, nimefurahi wewe kutoa mfano wa familia yako na ndoa yako lakini angalia huko unapoenda usije ukamfanya mkeo kuwea kufanya mambo ya ajabu kwa kuwa najaua unampenda utamsamehe. kwa maelezo yako hata jambo liweje ukikumbuka jins ulivyokuwa unamfukuzia na mambo mliyofanya unamsamehe.

Mimi si domo zege kama unavyodhani lakini ulikuw ni uamuzi ambao siujutii w kutotka kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana wengi ambao najua tutaishia kucheza na kuchezeana
Huyu jamaa ni domo zege mbele ya wanawake, hawezi kujieleza feelings zake. Ndio maana ameweza kuishi na mwanamke asiyempenda kwa miaka nane na bado akampa mimba. Hawezi kumueleza asiyempenda kuwa hana mapenzi naye. Pia hawezi kumueleza anayempenda kuwa anampenda, ndiyo maana licha ya kutompenda huyo anayedai hampendi, hadi leo katika umri wa miaka 34 hana mpenzi mwingine, kifupi hana uwezo wa kumpata. Huyo aliyempata most likely alijitongozesha, na inawezekana kuna factor inayowazuia wengine kujitongozesha. Katika hali kama hii, mhusika hana choice zaidi ya kuoa huyu mama. Asipooa huyu ndio basi tena! Namuombea iwe kweli kuwa huyo mama anampenda kweli kama anavyodai, vinginevyo itakuwa maumivu akija gundua kumbe hapendwi na yeye pia alijua tangu mwanzo kuwa hampendi huyo mwanamke. Kama anaamini wanaume wameumbiwa mateso, basi hili nalo lake ahangaike nalo, si kwa kuwa ana huruma sana na huyo mama, bali kiukweli ni kuwa hana la kufanya, yaani hawezi. Angekuwa na la kufanya na angekuwa na uwezo huo angeshafanya hivyo katika hiyo miaka 8, ni kwamba hana jinsi. Namshauri ajikubali na hali yake, kwamba yuko hivyo hawezi zaidi ya hapo, aoe huyo mama akae naye ndiye wa kwake, hakuna ujanja. Namsikitikia jambo moja, wakikorofishana chochote huko mbele ya safari kitu cha kwanza huyo bwana atakumbuka kuwa hakumtaka huyu mama toka mwanzo, na ataweka chuki isiyoisha. Kila kosa lake hata liwe dogo ataliona kubwa sana. Hatamvumilia kwa lolote. Huyu mama atakuwa anaishi kama amevaa koti lenye *****, hatakuwa na amani. Hata ukimwambia unampenda hatakuamini, maana kwa kiwango hicho cha elimu unachosema nina uhakika hata hapa anapitia, na mjadala ameuona, na sababu zako za kumuoa amezisoma. Hapo hajakutana na mawifi vichwa moto, kila kibaya chake watakachokuambia utaamini maana humpendi. Hutamtetea huyo mama kwa lolote. Yaani zile wanazoita pingu za maisha nyie ndo hasa mtakutana nazo, msoto wa ukweli. Hii amani unayojisikia kuikosa sasa hivi, nakuhakikishia hali kama hii itarudi mara kumi! Mimi nimeoa miaka 13, na huwa tunakutana na changamoto za hapa na pale, na hata mke wangu akiniudhi jambo nikikumbuka tu ninavyompenda huwa nasamehe hapohapo. Kuna wakati naweza kuwa nimeudhika jambo lakini nikitafakari nilipokuwa namfukuzia miaka ile, jinsi nilivyokuwa nabembeleza na nilivyofurahi alivyokubali, na mambo mengine mengi mazuri tuliyofurahia pamoja enzi ya uchumba wetu, nikifikiria machache tu ya hayo basi kosa hata wengine walione kubwa mimi naliona dogo sana na kulifuta mara moja. Hutaweza kufanya hivyo kwa mkeo kwa sababu hujawahi kumpenda. Mimi kabila letu ni wabaguzi, ndugu zetu hawakupenda nioe kabila nilikooa, nilipingwa na napingwa hadi leo, yani mke wangu asifanye lolote utasikia tu maneno 'tulisema!'. Lakini kwa kuwa nampenda sana mke wangu yote hayo huwa nayapuuza, na sasa hivi hakuna anayeniambia ujinga wowote. Wewe hutaweza kusimama upande wa mkeo namna hii kwa sababu humpendi. Lakini bado unalazimika kumuoa maana ndiyo hali yako ilivyo. Cha muhimu kwako ni kufanya mazoezi ya kujikubali kama mlemavu wa miguu anavyojikubali na kuona kusota kwa mikono ndiyo njia pekee ya kumwezesha kutembea, wewe jikubali na hali yako hiyo na changamoto zake ndizo hizo nilizokutajia baadhi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom