Simu ni kwa ajili ya mawasiliano ya kujenga na sio kubomoa. Au unadhani kwa kuwa Mungu amekupa hicho kinaniii chako basi ndo ukitumie tu hovyohovyo hata kwa matumizi yasiyo na maadili? Au tuseme ukimuweka mlinzi akulindie mali zako basi ni ruhusa yeye kukuibia?
Mhhh! Nadhani huu mfano uliotumika hapa hauna uhusiano na mada. Umesema simu ni ya kwake na kiboksi manyoya ni cha kwa kwake sasa mali ulizokuwa unaibiwa wewe ni zipi? Kama alikuwa anavi-entertain hivyo vivulana kwa kuvipa chakula na vinywaji kwa gharama zako sawa.