Nimemkuta yu mjamzito!

Haijalishi...kuchiti mara moja au mara nyingi bado ni kuchiti tu. Kibaya zaidi ni mtu anachiti bila kutumia kinga. Hapo anajihatarishia maisha yake mwenyewe na pia ya huyo anayemchiti. <br />
<br />
Hebu fikiri mumeo anakuletea likaswende au li chlamydia. Wewe mtoto wa watu hujui hili wala lile siku unaenda kuoga unaona usaa unatoka kwenye kitumbua chako....lol....hivi utajisikiaje?
<br />
<br />
haya, na nyie msichiti hadi mnazaa huko nje. Isiwe mkuki kwa nguruwe.
 
kacheat lkn ndio asitumie condom jamani? hapo kamsaliti vinaya mno kuruhusu uke wake utumiwe na mwanaume mwingine bila kinga,sisi tukicheat walau tunatumia kinga, divorce fasta hapo
 
Hivi kweli nyie wote mnaosema amsamehe ingekuwa nyinyi ndiyo mmetendwa mngesamehe au ni rahisi tu kwenu kusema wengine wasamehe lakini yakiwatokea nyie itawawia vigumu?<br />
<br />
Manake sielewi kabisa...mtu akuchiti hadi apachikwe mimba halafu eti umsamehe....hivi baada ya kumsamehe mtaishi maisha ya kama yalivyokuwa kabla ya hiyo mimba?<br />
<br />
I'm not getting this samehe samehe bullshit.
<br />
<br />
Kwa hiyo NN tatizo lako sio kwa nini amechiti, tatizo lako ni kwa nini amechiti irresponsibly.
 
Kuna moja nilisimuliwa: Jamaa mmoja aligundua kuwa mkewe alikuwa na mahusiano nje ya ndoa na akaamua amrudishe kwao kwa muda, baada ya baba yake na huyo jamaa kusikia hiyo habari ilibidi amuite mwanae kwake na akamuuliza vipi mbona umemrudisha mkeo kwao, jamaa akaja juu baba yule mwanamke siwezi kuishi naye amenisaliti, mzee akamwambia ok nisubiri then akaingia chumbani akatoka na picha ya watoto wake wote pamoja na huyo jamaa wakati akiwa mtoto, mzee akamwambia angalia picha hii kwa makini kisha niambie nyie wote hapo mnafanana, jamaa akaiangalia na kuona wengine wanafanana na wanafanana na baba yao lakini yeye tu ndo hafanani nao kabisa, mzee akamwambia nilipokuwa masomoni wewe ndo ulizaliwa kwa kifupi mimi ni baba yako mlezi lakini mama yako bado naishi naye.

Huu ni ukomavu.
 
NN hata huyo mleta mada kama ni kweli basi kaanzia movie katika kati kati. Inawwezekana aliata tottaly mwasialano akaacha mke jina. Sasa na wanawake walivyo weak bana wakiwa kwenye stress za imahusiano akapata msanii wa kutumia hiyo loophole.

Anaweza kumsamehe kwa kujua ukweli role aliyoplay mpaka huyo anayemuta mkewe akapata mimba nje ya ndoa. KAma akiona usaliti wa mkewe hausiki nayo hata kidogo basi aanze mbele.

Mimi nahisi jamaa alikata mawasiliano kabisa la sivyo huyo mke si angetoa hiyo mimba. Akimuuliza kwa nini hakuitaa anasemaje?

Inaonekana jamaa hana mtoto na huyo "mke" Na je kwenye ndoa yao walikuwa wana mpango wa nyota ya kijani? Je ni mke wa ndoa ya dini. mila au ni zile ndoa zetu sugu za kimjini mjini ambazo wanafmilia na wazazi hawajazibariki. I mean jamaa kaleta habari za upande mmoja

Kuna mambo mengi ya kuzingatia kabla . But sidhani hata huyo "mke" anategemea msamaha. Simaanishi msamaha sio option lakini itakuwa ni suprise kwa wote na mwanzo mpya. Msamaha still bado ni option

Kuanzia katikati siyo sababu..............Naomba ujenge mazingira ambayo wewe unadhani mke aliyekutwa na mimba anapaswa kusamehewa............
 
kujua mke amezini inatosha kutoa talaka...mimba ni ushaidi usio na mashaka...
 
Hebu tuchukulie kwamba umekwenda kusoma nje ya nchi, au umekwenda mbali sana na nyumbani kwako kikazi. Umekaa huko kwa miaka miwili . unaporudi, unakuta mkeo ni mjamzito! Hebu niambie ungefanya kitu gani?


Dah! Kweli ana guts... hapo talaka unajipa mwenyewe yaani hata mume hatojua why umesepa!
 
Km unampenda wala hutafanya kitu. Love is blind.

Kwahiyo katumia huo upofu kutundikwa mimba, kwa kifupi ni dharau kubwa kaionyesha kwangu na sina njia nyingine zaidi ya kuanza maisha mapya bila yeye..
 
....Kuna mchakato mzima unaolitangulia. Kuna kupapasana, kuna kuvua au kuvuana nguo, kuna kujiweka sawa katika mtindo mtakaotumia na kadhalika na kadhalika. Sasa hilo mtu unaweza ukaliita ni kosa la bahati mbaya? Abadani asilani, hilo ni kosa la kupangwa....

Kuendelea kuwaza hivyo afu unamsikia anakoroma sentimita chache kutoka ulipo lala ni kukutafutia kesi ya mauaji ni bora nijiepusha kwa kumuacha na hiyo mimba yake kwa amani mbona wanawake wengi mjini kwanini nihangaike na huyu asiyejali hisia zangu, kucheat kacheat na kidhibiti kaniachia nikione...no way wacha Mungu akamsamehe mie naendelea na maisha yangu..
 
Mie ndugu yangu mkewe aliamua kuondoka mwenyewe kimya kimya huu sasa ni mwaka wa tano
 
Mkuu..hiyo issue inakuuma kwa sababu ni 'Caught Red Handed' kwa nini usijiulize kati ya watoto 100 wanaozaliwa 25 si wa baba halisi.. Kwa nini usijiulize inawezekana mtoto mmoja unaosema wako lakini ukweli si wako? unawezaje kwa sasa kuendeleza tabasamu wakati kumbe ni mmoja wa wadau wa hii issue?

Kutatua hiyo issue...Jiulize

  • Wewe ni msafi? umeshatafuna wazungu wangapi? Je mmoja ya hao wazungu kondomu haikutoboka na labda huyo mzungu umemwacha mjauzito bila kujijua?
  • Jiulize kwa nini mama anajiamini hadi kukuachia uone ametoka nje na kukosa uaminifu..labda alikuwa anakusubiri ili mmalizane..
  • Haina haja ya ku-panic..kwani mkeo ni binadamu kama wewe..
  • Kuna asilimia 98% mtaachana lakini pia kuna asilimia 2% ya mwanaume wenye roho ngumu ambao watakubaliana na wake zao kulea huyo mtoto..kwa makubaliano maalumu..mmoja wapo linaweza kuwa kusahau yaliyopita..kumbuka unavyofikiri wewe sivyo navyofikiri mimi au yule'

Cha kufanya na cha busara ambacho ninamshauri kila binadamu afanye ni kwanza kuuliza ni yepi yaliyomsibu..., Ni vibaya sana kuhukumu mtu bila kujua chanzo au sababu..., just imagine kama alibakwa....? Hivyo basi atakuwa anamuhitaji mtu wa karibu yake (wewe) ili kumsaidia katika hili janga, na nyie wawili mnaweza mkaleta kiumbe duniani ambacho otherwise kisingepata mapenzi ya kutosha...

Kwahiyo cha kufanya ni kumuuliza ni nini kilitokea na kama ni mtu unaemjua na unajua tabia zake itakuwa rahisi kujua kama anakudanganya au ni kweli yaliyompata hayakuwa kwa idhini yake..., Na kama amekuchoka basi atakwambia hivyo basi kila mmoja kuchukua hamsini zake


Kwa watu ambao wanafikiria in these lines... Mkeo can not even dare kupata mimba... Thou ni adimu saana ukute a Man ansema na kufanya the above...
 
Kwanza ningezimia kwa hasira. Nikizinduka ni talaka kumi. Sitaki dhambi ya kumchukia mtoto atakayezaliwa.
 
Kuendelea kuwaza hivyo afu unamsikia anakoroma sentimita chache kutoka ulipo lala ni kukutafutia kesi ya mauaji ni bora nijiepusha kwa kumuacha na hiyo mimba yake kwa amani mbona wanawake wengi mjini kwanini nihangaike na huyu asiyejali hisia zangu, kucheat kacheat na kidhibiti kaniachia nikione...no way wacha Mungu akamsamehe mie naendelea na maisha yangu..
<br />
<br />
Nakubaliana na wewe kabisa!
 
Back
Top Bottom