mwenzenu nina mkosi.nimemkuta anayejiita mpenzi wangu anasasambua mbele za watu usiku wa manane pale maisha club alhamis kwenye show ya twanga.anacheza hadi watu wanampigia makofi na kumtuza.
hakujua kama nipo maeneo yale coz alijua nipo home naumwa.kwa hasira nikarudi zangu home.
kesho yake nikamwambia kwamba kuna watu walimuona club.akakataa katakata hadi akalia kwamba hajatoka home.akasema hao ni wabaya wetu wanataka kutugombanisha.nimfanyeje?
X akija hapa msikubali atakayo yasema ni muongo.mia
Tehe tehe eeh!!na wewe nenda kasasambue.
Kwanza utapata hela, pili utakuwa umelipiza kisasi
Kwa kifupi anakufaa, tena sana....! Ukitaka maelezo zaidi sema....!
mwenzenu nina mkosi.nimemkuta anayejiita mpenzi wangu. Sasa wewe wivu wanini wakati sio mpenz wako anajiita2 na sio kweli kama mpz wako. ila kiukweli ye mdada anamgongo na kiuno kizuri nili mwona akifanya mambo yake duu wadau mngekuwepo mnge ona wenyewe maana duu. pole mchizi lla dem mwaminifu nikazi 2 ile ondoa shaka
1time tulikutana jamii forum.halafu ana id mbili.akiebdelea na upuuzi wake namsema kwa invisible.sasa hivi anajiita X-GIRLFRIEND.mia
mwenzenu nina mkosi.nimemkuta anayejiita mpenzi wangu anasasambua mbele za watu usiku wa manane pale maisha club alhamis kwenye show ya twanga.anacheza hadi watu wanampigia makofi na kumtuza.
hakujua kama nipo maeneo yale coz alijua nipo home naumwa.kwa hasira nikarudi zangu home.
kesho yake nikamwambia kwamba kuna watu walimuona club.akakataa katakata hadi akalia kwamba hajatoka home.akasema hao ni wabaya wetu wanataka kutugombanisha.nimfanyeje?
X akija hapa msikubali atakayo yasema ni muongo.mia
1time tulikutana jamii forum.halafu ana id mbili.akiebdelea na upuuzi wake namsema kwa invisible.sasa hivi anajiita X-GIRLFRIEND.mia
na hii ni moja wapo ya adhabu.amezidi mkuu hadi nakuja hapa ujue amenichosha na tabia zake.wengine si wanawake ni vikwekwelekwe.hebu jenga picha alivyokua ananisema hapa kwa kuntaja id na mambo anayofanya.nataka mjue kwamba huyu siyo nmepotea njia.mia
Sio fresh mkuu kumuaibisha demu wako kwa kutaja kabisa id yake au mapenzi yameisha? ungeacha tu ile x ili iwe msamiati kwa sisi wapita njia tu
Nyie wote mna pepo la uongo! kaeni mtulie tabia zenu zinafanana. Mgonjwa anaendaje club? haya wewe nae bwanako anaumwa badala ya kumuuguza unaenda kukata mauno Club????
Ni utoto mkikua mtaacha!
na hii ni moja wapo ya adhabu.amezidi mkuu hadi nakuja hapa ujue amenichosha na tabia zake.wengine si wanawake ni vikwekwelekwe.hebu jenga picha alivyokua ananisema hapa kwa kuntaja id na mambo anayofanya.nataka mjue kwamba huyu siyo nmepotea njia.mia