Kwani mkeo? Kama wewe kaweza kukusambulia kwa raha zako, kwanini asiwasasambulie wengine kwa raha zao? Una hati miliki?
Biashara ni matangazo! Unanchekesha, eti "mpenzi". Mpenzi pochi tu kwa anaeweza kukuvulia kabla ya ndoa. Usijidanganye.
kwani wewe hauvui?