RasJah
JF-Expert Member
- Nov 5, 2009
- 703
- 64
Kaa la Moto,
Nakushukuru kwa kuleta topic ya kumuenzi baba wa taifa kama angekuwa hai asikuepo mtu wa aina yeyote anayeitwa fisadi na mtu alikosa maadili kwani angemtosa kabisa hasa wale watu wanaitwa maviga matatu na siyo mapacha matatu angekuwa tayari ameshughulikia kisawa sawa!
Nakushukuru kwa kuleta topic ya kumuenzi baba wa taifa kama angekuwa hai asikuepo mtu wa aina yeyote anayeitwa fisadi na mtu alikosa maadili kwani angemtosa kabisa hasa wale watu wanaitwa maviga matatu na siyo mapacha matatu angekuwa tayari ameshughulikia kisawa sawa!