mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,201
Nyambura "umejibatiza' lini bila kunitarifu? sorry for off topic
afu wewe na nunnu mna matatizo yanafanana? kweli 'masharobaro" wamekuwa wengi siku hizi....
Acha masihara kaiza!!! wanaume wa hivyo ni hatari sana maana wanaweza kututanguliza akhera.....................hawajali na wala hawana aibu maana wana ukatiti ulopitiliza
namshauri nyambura am delete na kum empty kwenye recyclebin yake kabsaa yaani huyo ni full kimeo