Hivi mtu kuamini kurogwa c ndo part ya psychology...dogo hivyo ni viuno tu vya demu vina kubabaisha...na wewe unadhani umerogwa.
Mtu aksiha jiwekea akilini karogwa, hata waganga wanajua tumeishapata jinga lolo la kulilia pesa.
Hakuna kurogwa wala nini, hao wanao roga bila uwezo wa mungu hawana nguvu.
Jaman mi nina demu aja2lia kabisa na najua kabisa kwamba aja2lia bt kila kukicha nazid mpenda daaa sijui nifanyaje!!.
sasa best unataka sisi tumtulizee au unataka sisi tufanyeje? Mana ukwel unaujua sasa kwanini usijalibu kumsoma ni nini kinachomfanya asitulie labda kwa7bu yeye ni demu na kwa7bu DEMU kwa kiswahili ni ng'ombe aliekuwa kwenye siku zake hvyo hawez kutulia huyo demu. Sawa kaka
Yes kabla hujaamua tafuta chanzo cha tatizo may be ww humtoshelez au kuna vitu anataman ili humpatii na hujamjengea mazingira ya kuwa muwazi kwako na ukute naye hana ujacri wa kujieleza kwako!so tafuta 7bu then solution uckimbilie kumwacha.
Mmmmh kwa hyo inabid niachane naye acrdng 2 u!!
Sasa mi kila nikimwuliza hawi mwz kwngu bt sh lvs me alt acdng 2her!!
Jitahidi kumpa nafac ya kujieleza hasa nn anapenda labda mnapokua faragha,sehemu gani upeleke outing,mpe uhuru kunako na co ubabe,muulize kwa lugha za mapnz co ubabe na amri,jitahidi unapokua na nafac uwe nae na kujitahidi kumsoma ni kipi kinamtoa nje,timiza wajibu wa kumtunza na kumtimizia mahitaji yake ikishindika mpaka hapo akaendelea bac atakua hakupendi anatafuta njia umshindwe mwenyewe!
Jitahidi kumpa nafac ya kujieleza hasa nn anapenda labda mnapokua faragha,sehemu gani upeleke outing,mpe uhuru kunako na co ubabe,muulize kwa lugha za mapnz co ubabe na amri,jitahidi unapokua na nafac uwe nae na kujitahidi kumsoma ni kipi kinamtoa nje,timiza wajibu wa kumtunza na kumtimizia mahitaji yake ikishindika mpaka hapo akaendelea bac atakua hakupendi anatafuta njia umshindwe mwenyewe!
Ok bt nimekua nkmtel hvyo 4 1yr nw.