Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
kwani haipenyi?Nataka kuoa wadau ila binti walionilitea wazazi wangu namzidi 14 years...naona kama ni gap kubwa sana.
Naombeni ushauri.
kwani haipenyi?Nataka kuoa wadau ila binti walionilitea wazazi wangu namzidi 14 years...naona kama ni gap kubwa sana.
Naombeni ushauri.
nini 14,watu wanapishana hadi 30 na life inakwenda,la muhimu ni maelewano tu.na kubwa zaidi kama wewe mwenyewe umeridhika nayeNataka kuoa wadau ila binti walionilitea wazazi wangu namzidi 14 years...naona kama ni gap kubwa sana.
Naombeni ushauri.
Vipindi vya watoto sijui
Dume la uhakika haliletewi mwanamke na wazazi wakeNataka kuoa wadau ila binti walionilitea wazazi wangu namzidi 14 years...naona kama ni gap kubwa sana.
Naombeni ushauri.
Wewe una umri gami?Nataka kuoa wadau ila binti walionilitea wazazi wangu namzidi 14 years...naona kama ni gap kubwa sana.
Naombeni ushauri.
Shocking... Wengine michicha mwibaBado watu wanaletewa, This is abominable...
ok nimekupata,sorry nilikuwa sijapata point yako kama unavyojua jamii yetu imezoea kuona mme akiwa mkubwa kuliko mke.Mimi wa kike