Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
nakuvuta nje nakupiga nalo kwanza ndo naingia kwa mgonjwa
Weeee niko na mlinzi wangu...atakugongaje nakozi...utashangaaaaa
nakuvuta nje nakupiga nalo kwanza ndo naingia kwa mgonjwa
Hahahahaaaa inawezekana...ila labda umelazwa kwa kukosa nguvu kisa umekosa chakula so ukikipata ndio hapatoshi...nani agome!? Naumwa lakini nakula kama fuko, sijui nnamwanandani!
Tena kabisa unipitie, hapa namaliza kunywa chai halafu nimuandalie Angel mtori.. Wa kuonja utakuwepo.
kaizer na kesi nae halafu ananikimbia wee muache tu
Poa nimewaacha na Amy wanaandaa makulaji yako...halafu ugome kula uone tutakavyokufinya hata km unaumwa...
Kumbe nyi hamfai...si mtakumaliza sasaUmeona eeh...kama kuumwa tuanze sisi kwanza....kwa kuonja...apo nakuja sasa hivi....nigonge au nipige honi?
Huko nyumbani kwema lakini? Naomba umpelekee mgonjwa maapple kwa niaba yangu tafadhali, si unajua mie nipo sitimbi huko siwezi kufika!!
Kumfinya tena jamani?? Vibaya hivyo Erick, ujue mgonjwa anahitaji kubembelezwa!
Kumbe nyi hamfai...si mtakumaliza sasa
Umeona eeh...kama kuumwa tuanze sisi kwanza....kwa kuonja...apo nakuja sasa hivi....nigonge au nipige honi?
Hahaaahahahhaa Erick tofautisha kuonja na kula.....au?
Ukimpa mtu mbege kwen kata si unaria kwanza au umesahau?
Habarini wana jf wenzangu, mwenzenu naumwa na nimelazwa kcmc hospital toka juzi sa 5 usiku, NAOMBENI MNIOMBEE DUA KWA MWENYEZ MUNGU NIPONE MAPEMA nirudi kwenye mapambano ya kulikomboa taifa. Mungu ibariki Tz, Mungu ibariki Jf, Mungu ibariki .......
umecheki damu kubwa?
Gonga kabisa.. Honi inasumbua majirani.. Kesi yako na kabakabana mshaimaliza? Sitaki vurugu nyumbani kwangu!
Hahaaa
kuonja kwenu ndio hakuaminiki...milivyo na uchu na chakula cha mgonjwa
Namsubiri aje hapa kwanza aniambie manake kama ni deni, hata serikali inadaiwa...Kaby where are u at?
nina kama dk 5 nitakuwa hapo...umeshapika tayari au nitasubiri kidogo?
Itabidi usubiri kidogo... Dakika chache tu. Kwani una haraka?
orait, Kipy ilo apple itabidi niliandike "from Kipipi" ili mgonjwa ajue kuwa am doing it on behalf.....sitimbi hawajambo? urudi na kiroba cha senene (sijui ndo kuna senene am just guessing)
Itabidi usubiri kidogo... Dakika chache tu. Kwani una haraka?