sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Nimeenda hospitali moja huku Kaskazini, nilipoambiwa kutaja jina langu nikawatajia majina mawili ambayo yanatokeaga ktk oficial documents zangu zote. Wakanambia wanataka majina matatu na ni lazima kitu ambacho sijazoea, nimebaki kujiuliza ni kwa nini ilikua lazima.
Na je lina faida gani?
Na je lina faida gani?