Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Uuwwwiiiiii
ndo maana matukio ya humu hutakiwi sema yako.
Unasimulia ya watu wengine tu.
ndo maana matukio ya humu hutakiwi sema yako.
Unasimulia ya watu wengine tu.
Ofisi: PPF
Wizara: Fedha
Nchi: Dubai
Perdiem zao kwa kila mchana wakiwa Dubai USD 600 (Tshs 960,000), Wamelipwa USD 600X7days ambazo USD 4200 (Tshs 6,720,000)
Kwa huyo mdada uliye naye, amekustahi ngoja jioni hii anywe pombe ndipo utagundua kuwa hata wanawake huwa wanabaka, na leo lazima ubakwe na huyo mama hatachangia malipo ya hotel bali utalipa zote wewe.
Sipendi kuwataja majina. Mmeondoka jana mmnarudi Jumamosi