Nimekwama tena CAS ya TCU

Esir

Member
May 4, 2012
30
3
Nimefanikiwa ku apply kwa system ya TCU, mimi ni diploma leaver, lakini nikifungua myprofile kilakitu kipo safi ila diploma index number yangu haionekani hapo, je kuna yoyote aliye apply kwa kutumia diploma na amefanikiwa lakini kwa profile yake diploma index namba haionekani kama mimi? au ni tatizo langu peke yangu? tafadhari msaada wandugu!
 
Nimefanikiwa ku apply kwa system ya TCU, mimi ni diploma leaver, lakini nikifungua myprofile kilakitu kipo safi ila diploma index number yangu haionekani hapo, je kuna yoyote aliye apply kwa kutumia diploma na amefanikiwa lakini kwa profile yake diploma index namba haionekani kama mimi? au ni tatizo langu peke yangu? tafadhari msaada wandugu!

Kwa kweli CAS hii inasumba sana.Mimi binafsi kwenye profile yangu kinachoonekana ni form 4 na form 6 index number pamoja na gender tu.Taarifa zingine zote hazionekani na zote niliziingiza.Sasa sijui ndio maendeleo au adhabu kwetu?Sina jibu ila inaboa sana.
 
Bandugu,jaribuni kufanya hizi application kwenye computer,simu mimi mwenyewe imenizingua,nikaingia i/cafe mambo yakawa shwari. Kama unatumia computer,jaribu kutumia nyingine uone!
 
Mi nimeshindwa kabisa kufanya registration kwenye cas naambiwa voucher no does not exist..msaada pls
 
wadau kuna m2 kafanikiwa kuapply akiwa na diploma in teaching? msaada plse
 
naombeni msaada wenu nimekwama CAS naambiwa vocha namba does not exist..nifanye nn?
 
Inaelekea hili tatizo limejitokeza kwa watu wengi! Kama ndo hivyo watumieni email.Au muwapigie simu.
 
binafc nishawatumia e mail hawakujibu wiki inakatika sasa, well on top of that naomba wandugu niulize,kwa anayeapply frm diploma ile namba aiweke kwa format gani? Nimejaribu kuweka dot wapi, mkwaju hola. Namba iko hivi kwa mfano, OD.xyzxyz.D1.2012.
 
Wanaoambiwa Vchr # doesn،t exist vchr zenu mkiangalia vizuri mtagundua ni mpya(zimeandikwa exp date 2013) ni tofauti na wale waliotuma mwanzoni kwan wao wali2mia zinazo exp 2011(za mwaka jana) hizo mpya hakuna m2 alie apply zikakubali(m2 yeyote ninaemfahamu i.e) so nadhan bado hazijafunguliwa till now
 
mkiambiwa tunahitaji watu makini katika hii fani, mnaanza kulalama. mnaona sasa? huu ndiyo ubabaishaji tusioutaka kwa manufaa ya tanzania ijayo. kuondolewa kwa mikopo kutatuletea watu makini sana miaka ijayo, vuteni subra tu, itakuwa kama india vile
 
Back
Top Bottom