Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
kaka Brakelyn ameeleza vizuri.
kwa mtazamo wangu kabla ya kufanya chochote ningependa kujua mambo yafuatayo;1. Je unapata tatizo lolote katika iphone kabla hujaiconnect na computer yako.
2. Kabla hujaiupdate ulikuwa unatumia firmware gani na baseband ipi?
3. uliupdate itune kabla ya kuupdate iphone yako?..
unlocking hapa mjini iphone3 wapi?
wapo bana, mimi nafanyia mazoezi hii yangu
nikifanikiwa, njoo na yako, sawa???
unlocking hapa mjini iphone3 wapi?
Hapo ipo katika Restore Mode! Kuna Application inaitwa TinyUmbrella au iREB (zipo bure google) unatakiwa kudownload ili uondoe iphone katika restore mode..
Ikikataa kutoka basi ni lazima uRestore simu. kwanza hakikisha iTunes yako ni latest version 10.6.3.25, uwe umedownload latest custom firmware 4.2.1 kwaajili ya iPhone 3G, weka iPhone katika DFU mode maelezo yapo hapa ( iClarified - iPhone - How to Put an iPhone Into DFU Mode ), ukiwa na connection ya internet, baada ya kuwa katika DFU, connect simu kwenye iTunes itakwambia uRestore, shikilia SHIFT key kwenye keyboard baada ya hapo click RESTORE kwenye iTunes, locate firmware yako uliyodownload then iache imalize kuRestore!
kuUnlock inawezekana pia, Modem Firmware yako ni ngapi?yes,
nimeweza sasa, thank you sir.....sasa najaribu ku-unlock!!! wacha niendelee kutafuta software...... ahsante mkuuuu
Komaa tu kaka utaweza kuna tutorial kibao, ikomaliza ukikuta imepoteza network nishtue nikutumie kafaile cha kurudisha network.
Sent from my Z3 using Tapatalk 2
kuUnlock inawezekana pia, Modem Firmware yako ni ngapi?