Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Wakuu heshima mbele,
Katika pitapita yangu leo hapa jukwaani nimekutana na mtu mmoja ambaye mtima wangu umemzimia sana,
Ni mrembo mwenye sura nzuri, macho ya kuvutia na kifua ambacho mwanaume yeyote rijali kama mimi lazima atavutiwa na umbo la huyu binti.
Ukiiangalia avatar yake waweza dhani kama anakuangalia wewe au anakuita wewe ila ukweli ni pozi tu hilo.
Sijaona kama yeye hapa JF, kwakweli ni mzuri, mtamu zaidi ya asali, nahitaji ugali bila mboga kwani awapo yeye kwangu ni mboga iliyo kamilika.
Sintoacha kumsifia kwakuwa hata mmoja hapa JF hajafikia uzuri wa huyu mrembo, Khaki ya nani mungu alimuumba huyu siku ya jumamosi tena alikuwa wa mwisho kabla hajaenda kupumzika.
Popote ulipo, Popote usikiapo sauti hii, Popote uwazapo uwepo wangu na vyovyote unichukuliavyo tambua Nimekuzimia binti mrembo, Hakika hata nikipewa chopper bado ili mtima wangu uache kukuwaza wewe sintoweza.
Namzungumzia huyu hapa;
Feis Buku
JF Senior Expert Member
Katika pitapita yangu leo hapa jukwaani nimekutana na mtu mmoja ambaye mtima wangu umemzimia sana,
Ni mrembo mwenye sura nzuri, macho ya kuvutia na kifua ambacho mwanaume yeyote rijali kama mimi lazima atavutiwa na umbo la huyu binti.
Ukiiangalia avatar yake waweza dhani kama anakuangalia wewe au anakuita wewe ila ukweli ni pozi tu hilo.
Sijaona kama yeye hapa JF, kwakweli ni mzuri, mtamu zaidi ya asali, nahitaji ugali bila mboga kwani awapo yeye kwangu ni mboga iliyo kamilika.
Sintoacha kumsifia kwakuwa hata mmoja hapa JF hajafikia uzuri wa huyu mrembo, Khaki ya nani mungu alimuumba huyu siku ya jumamosi tena alikuwa wa mwisho kabla hajaenda kupumzika.
Popote ulipo, Popote usikiapo sauti hii, Popote uwazapo uwepo wangu na vyovyote unichukuliavyo tambua Nimekuzimia binti mrembo, Hakika hata nikipewa chopper bado ili mtima wangu uache kukuwaza wewe sintoweza.
Namzungumzia huyu hapa;
JF Senior Expert Member
Karibu kwangu Mtoto malaika......!!! Upate tulizo la Mtima wako........!!!!