<br />Nimetendwa sana na nimezoea sasa hivi,hata nikipenda yaani nachukulia kawaida,hata akinitenda poa tu wala siumii,aniache asiniache ni poa tu.<br />
Yaani sifeel kuwa ni special kwangu,namchukulia kawaida sana.<br />
Nifanyaje maana nitakuwa naumiza pale mtu anaponipenda sasa hivi kumbe hajui mi namchukulia poa tu.