Zizu
Member
- Sep 9, 2010
- 67
- 19
Nina furaha sana siku ya leo na sababu kubwa ni kuwa leo ni birthday yangu.Sikujua kwamba unapokuwa umetimiza miaka 25 ndo JF inakutambua kama Senior member.Namwomba Mungu anipe kibali cha kuishi miaka mingi zaidi hata na mimi nipate kutimiza ndoto zangu. Ni mwaka huu ndo natazamia kumaliza IFM na kuona ninaanzia wapi kufanya na mimi impact kibongo bongo if possible hata level zile.