mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,279
- 44,813
Dhana mbaya.labda kuna panya alibeba?labda kuna MTU aliinua kwenye kamba kinakosa akaipeleka huko.?kwa tukio hlo huna sababu ua kumuhukumu mkeo.nakushauri.muite DOGO umuulize.utajua tu ukweli.
Ila ni kweli saa zingine huenda ni panya tu walibeba na dogo nae hakujua pichu ni ya nani so akakaa kimyaHakuna panya hapo kwako! Kama wapo itakuwa panya wamefanya yao, ichukue ukaiweke mahali salama.
Wala usipanic mkuu tuliza akili kwanza, anza kufuatilia nyendo za mkeo na huyo mdogo wako kabla hujafanya maamuzi. Tumia mbinu za ki cia yaani uchunguzi wako uwe classified asijue mtu.
Angalizo:Kama huwezi kumuacha mkeo usimchunguze
Bora akawaite woteawambiealichokionawamueleze kama mshikaji amebeba wife atamkana na kama wanabanjuana dogo atasema tu. Kwani huyo mwanao kwamba ukimuacha utakuwa na dhambi? Lakini kwanza jichunguze kama na wewe unakula vya watu ujue na wewe lazima kwako yakukuteHa ha ukiona manyoya jua...........
Ukweli busara yahitajika sana na uchunguzi kuna mawili hapo huenda hainAga ushemeji wanakulana tu wewe ukiwahi job dogo anampa cha asubuhi...akirud mchana kula anashika kalio shemeji shemeji wazima taaa
Pili huenda dogo domo zege ameiba hiyo pichu kupigia pull zake ujue kuna midume kaa beberu wanapenda harufu za kyupi akinusa muruuuua...
Wewe mchunguze wifi wako utajua jua kama anabanduliwa ilA uvumilivu muhimu kumbuka huyo mke na mna mtoto.fikir sana maisha ya mtoto wenu na pia kama vipi muamishe dogo as long ana bajaji uwezo wa kupanga upo
Nani mimi?ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani ila siyo maneno yangu ni ya wazee wa zamani, kosa moja haliachi mke, kizuri kula na ndugu yako, wewe haujawahi kumsariti?
Nimecheka mpk basi,comments nyingine bwn mpka stress zinaisha!inawezekana pia wife alimpa dogo amshonee
Au dogo hampendi shemejie kaamua kumuharibia ndoaInawezekana ilijichanganya wakati wa kuanua nguo.
Au inawezekana inafanana na ya mkeo ila sio.
Au imeletwa na panya.
Au dogo aliikota nje kajisahau kuirudisha wakati mvua inanyesha.
Au wife mchonganishi,kaitupia makusudi.
Au nini tena, au dogo anampa three phases, wewe unatoaga single phase.