Mahmoud Qaasim
JF-Expert Member
- Nov 3, 2007
- 923
- 264
muulize dogo hivi; hii chupi ya nani?? then sikiliza jibu lake maswali na maamuz mengine yatafuata
ni chupi ya shem ila mi sina chupi ndio nkachukua nijisitiri hadi ntakaponunua yangu.
muulize dogo hivi; hii chupi ya nani?? then sikiliza jibu lake maswali na maamuz mengine yatafuata
Some guys are making jokes on a serious issue! Be calm ..Fanya uchunguzi kwanza utajua tu
Mkuu wangu hebu tuliza hasira kwanza. Inawezekana wakati wife anaanua nguo alijikuta ameichanganya kwenye nguo za dogo, na kwa kuwa dogo ni full heshima, amebaki ameduwaa asijue la kufanya. Hebu muulize wife kwanza hiyo kitu imefikaje kwa dogo kama asipotoa majibu mujarab ndipo ufanye maamuzi mengine.Jamani Leo ni Siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa mdogo wangu wa kiume. Nimekaa nalo moyoni naona niwashikirikishe wenzangu nione mnishauri nini.
Ni hivi, ninaishi na mke wangu mwaka wa nne sasa, tuna mtoto mmoja, nina Mdogo wangu anaishi hapa tangia January niliponunua bajaj ili awe anaendesha ili kusaidia wazazi wetu nyumbani kijijini.
Sasa jumapili iliyopita wife aliwahi sana asubuhi kwenda kanisani pamoja na mtoto, Mimi nilibaki nimejilaza mpaka kama SAA moja na nusu Hivi, nilivyokumbuka kuwa nilikuwa na Ahadi Fulani, katika kufanya maandalizi sikiweza kuiona pass, so nikaenda straight chumbani kwa dogo katika kuitafuta ndo nilipokutana na chupi ya mke wangu ambayo Mimi mwenyewe nilimununulia so imechoka choka kiasi chake.
Nilishikwa na butwaa kwani namwamini sana wife, dogo mwenyewe heshima kwa sana, ilichukua simu na kupiga picha kadha na kuzificha kwenye private vault, ile chupi nikaiacha palepale.
Wife hajasema chochote mpaka sasa, nawaza namna ya kuanza kumuulizia japo ameshahisi kuwa siko normal, coz nikimuona usoni nakuta hasira imepanda sana.
Kwa kifupi naogopa ukweli kuwa mke wangu amenisaliti kwa mdogo wangu, mpaka sasa simuoni kama mke wangu tena, namuona kama bundi kajificha chumbani kwangu.
Naomba mnishauri kwani Mimi kwa haraka haraka naona nimwite kaka yake aje amchukue kabla sijamfanya kitu mbaya, tatizo hasira zangu hupanda pole pole sana, kuzishusha ni kazi sana.
sio Kweli
Tunakulaga...
Hivi unamuacha mwanamke kwa jambo jepesi km hilo!??? Kuhisi tu!!! Hapana, kwan wewe hujawahi kumsaliti??? Tuliza mawazo fanya uchunguzi na hata ukigundua mtimue mdogo wako then ndoa iendelee
Kwahiyo unaona alichokifanya mdogo mtu ni sahihi?Yaani mdogo wake amtimue ajili ya mke? mke atapata mwingine, mdogo wake atampata wapi mwingine? udugu haufi mke anaachwa.
Huyo panya anaeiba chupi tu na si kitu kingine, na kuipeleka chumbani kwa dogo na si sehemu nyingine. Anahitaji sumu kali sana maana analeta shida hapo nyumbaniPanya at work
Kama wife keshajuwa kuwa umejuwa basi hapo si salama. Kama angekuwa panya ndo kapeleka wala wife asingekuwa na fikra yoyote juu ya hilo jambo na angekuwa wa kwanza kukuhoji kwa nini hauko sawa na angekuuliza mara kwa mara maana ni mkeo. Ila kama ana waswasi ni hatari. Pili kumuuliza mdogo wako jambo hilo ni kujidharaulisha yaani una muuliza mdogo wako eti unagegeda shemeji yako? Noma. Sijui mambo mengine magumu.Sijaingia tena,kuna kila dalili kuwa wife anajua kuwa najua
Kwahiyo unaona alichokifanya mdogo mtu ni sahihi?
Wote (mke na mdogo mtu) hawafai
Umenifurahisha sana!Pengine mdogo wako kaichukua tu kuipigia nyeto hakuna lolote amini hilo
msaidie mwenzio kufanya u detective..... Detective JUko right... uchunguzi kwanza.. asikurupuke kufanya maamuzi kwa sasa.